Kwa Dodoma kua capital city huwezi kuzuia reli ya Dom - chuga na ikiwezekana hata Dom - Iringa - Mbeya, hata wakishamaliza tanga-chuga-musoma still hiyo route ni muhimu hata usipoona umuhimu now utauona miaka michache ijayo.
Kuhusu hiyo KIA kwa position iliyopo bado kupambana na JKIA ni ngumu maybe hiyo reli unayozungumzia na iende hadi longido sio iishie Arusha mjini.
Note: Mimi sio mtu wa Arusha mkuu bali Kilimanjaro so point yangu hapa ni kuipa Arusha power ya kutosha kutoa jasho Nairobi, KIA hadi Loliondo ni 220+ km but to JKIA to Loliondo ni 160KM na hapo hujafika border
View attachment 1649822