Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa unapost picha ya kitambo hili ionekane kuna gorofa inajengwa Dar? Mbona uko desperate sana? Kama hakuna construction boom in Dar just accept it the way it is.
Kwani aliekwambia imekamilika 100% nani??🤣🤣👇👇
4EBF4449-BDC2-45F8-ACD4-63B64C6365FD.jpeg
 
Ultra modern and biggest football stadium in east and central africa and among top 10 expesive stadium in africa
View attachment 1655415

nimekuja kunotice uwanja wetu ni moja wa viwanja vizur baran Africa na una muonekano mzuri.. pia una three layers (3 grouped rows) ya seats arrangements

angalia uwanja wa taifa wa zimbabwe una layer (1 grouped row) moja ya seats arrangement
IMG_1608487235.787109.jpg

 
Yani construction ambayo inaendelea Kenya imefanya mtu adanganye watu na picha ya ujenzi ya nyumba ambayo ilishamalizwa kitambo
 
Back
Top Bottom