Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha wakasome maana ya urbanization

urbanization
/əːb(ə)nʌɪˈzeɪʃ(ə)n/

noun

the process of making an area more urban.

Making sio moving, hawa watu elimu yao ni takataka kabisa, haya mambo Tanzania wanafundishwa form 2 kwenye Geography
Lkn hata tukiangalia uhalisia tu hakuna nchi ukanda huu iko more urbanized km Tz, hata wao wanajua hilo lkn km wanabisha tuanzishe uzi wa EA urbanized areas ili tuone wao na sisi nani wako urbanized zaidi.
 
nairobi
Flash%20save.jpeg
 
Back
Top Bottom