Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa unapoambiwa tpa ni 40 mbona huwa una ng'aka!!!!

kisa umesikia kuna 5 chini.
Hizo za chini huwa hazihesabiwi. Hata sisi hatuhesabu za chini. Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kuhesabu basement floors unless huelewi maana ya ghorafa. Watanzania mna ushamba mwingi sana. Wacheni ushamba.
Teargass nilikuambia hawa watu kuargue nao ni stress tupu. Sasa ng'ombe inataka kuhesabu basement kama part ya ghorofa.
 
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Cbk 27 vs Cbk 30 ipi ni ipi, ila yako kdg naweza kuiamini na co huyo mpumbavu aliesema Cbk ni 30 flr cz huwa anapenda kujiliwaza kwa kuongeza zero, uyo ndo nyani mwenyewe anayeongelewa na wazungu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sio kwamba anadanganya bali Inategemea source ambayo mtu ametoa data. Hata mimi nimesoma source mbili zinazokinzana. Moja inasema kuwa KICC ina ghorafa 32 na nyingine inasema kuwa KICC ina ghorofa 28 so nikaamua kuandika 28. Inategemea data yenyewe kama ina tatizo au la.
 
Bwahahaha!!hko hamna zaidi ya dar, au kuna mji ambao umefikisha hata population ya watu milioni zaidi ya dar[emoji1787][emoji1787]


Definition 👇👇👇👇

An urban area is the region surrounding a city. Most inhabitants of urban areas have nonagricultural jobs. Urban areas are very developed, meaning there is a density of human structures such as houses, commercial buildings, roads, bridges, and railways. "Urban area" can refer to towns, cities, and suburbs.
 
1.TPA TOWER 35FLR
2.PSPF 1 35FLR
3.PSPF 2 35FLR
3.MNF TOWER 30FLR
4.RITA TOWER 30FLR
5.PPF TOWER 35FLR
6.MILLENNIUM TOWER 30FLR
7.MZIZIMA TOWER 1 TOPPED OUT 35FLR
8.MZIZIMA TOWER 2 TOPPED OUT 33FLR
Mbona unapunguza idadi ya floors kwenye TPA tower
20201103_114652_mfnr.jpg
 
tangu lini GTC hotel imefika 37 [emoji1787][emoji1787] ni 35 mzee[emoji1787] unaongeza figure kama vile unakula githeri

tangu lini CBk imefika 30 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni 27f


Tangu lini GTC residential imefika 33[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tangu lini GTC office imefika 43 insted of 42 au ulipanda juu kuingeza paa[emoji28]

View attachment 1654768
View attachment 1654769
Hapa ndo huwa hawakuwezi kabisa [emoji3][emoji3][emoji3]
 


Definition [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

An urban area is the region surrounding a city. Most inhabitants of urban areas have nonagricultural jobs. Urban areas are very developed, meaning there is a density of human structures such as houses, commercial buildings, roads, bridges, and railways. "Urban area" can refer to towns, cities, and suburbs.
Huwa wanaikataa hii defn, wanakuambia hapo wanamaanisha rural-urban movt[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom