ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Huyu ndio aliejenga anasema 🤣🤣👇👇 bishana nae sasa
So wenye jengo hawajui kuliko wewe🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
Umepanic sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
TPA haitawaifika 40 floors, hata lifts inasema hiyo tower ni 36 floors







So nikuamini ww au nimuamini aliejenga hebu jihukumu mwenyewe🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇
😁 😁 😁 lift tayari zishasema ama labda iyo lift ni bonoko.
So kama zinaanza hapo 36 kwenda juu zingine kwasababu juu kabisa ni hotel lazma kutakua na ulinzi au ww hujawah kuona hio😁 😁 😁 lift tayari zishasema ama labda iyo lift ni bonoko.
Ndio hawana akili kama wewe😝😝Leo waliojenga jengo hawana akili🤣👇
View attachment 1655031
Yani waliojenga hawana akili hahahhahahahahahhahahahhahahahahahahahhahahahahahahhahaaNdio hawana akili kama wewe😝😝
Hatimae KLM kajitoa kwenye loss making airline 🤣🤣🤣🤣🤣 sasa wanakufa wenyewe
Sasa mtu anaeza kubishana na google earth atashindwa kubishana na contractor 🤣🤣Mkitana kupoteza muda na teargass hata hadi June 2021 kuhesabu flrs tu yuko tayari...tpa lina flr 9 case closed na cbk lina flr 3
The end of KQ is near!