Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umvue chupi nani ww, ugeni unakusumbua ila utanyooka tu.
Mimi si size yako dogo, njoo taratibu
IMG_20201220_090813_457.JPG
 
Hizo za chini huwa hazihesabiwi. Hata sisi hatuhesabu za chini. Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu anayeweza kuhesabu basement floors unless huelewi maana ya ghorafa. Watanzania mna ushamba mwingi sana. Wacheni ushamba.
Teargass nilikuambia hawa watu kuargue nao ni stress tupu. Sasa ng'ombe inataka kuhesabu basement kama part ya ghorofa.
wewe sisi huwa tunaamini kama ujinga wako una afadhali kidogo,lakini hapa unathibitsha nawewe ni wale wale,kiazi wahed.

kwani za chini zinaitwaje!!!hii case ikiwa upande wenutatafuta maelezo yote kujazia kama kule kwenye floating bridge.
unaweza hesabu ukitaka
JamiiForums251435567.jpg
 
Huwa wanaikataa hii defn, wanakuambia hapo wanamaanisha rural-urban movt
emoji3.png
emoji3.png
Hahahaha wakasome maana ya urbanization
👇👇👇👇
urbanization
/əːb(ə)nʌɪˈzeɪʃ(ə)n/

noun

the process of making an area more urban.

Making sio moving, hawa watu elimu yao ni takataka kabisa, haya mambo Tanzania wanafundishwa form 2 kwenye Geography 😅😅
 
Back
Top Bottom