Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua maana ya limelight, tatizo pia simfahamu..pole sana jomba
Kweli we bado lolani Kalu moja wapo ya journalist wazuri Kenya unasema humjui? VP Yule Leonard mambo mbotela alieshindwa kulipia gharama za matibabu akasaidiwa humjui pia sindio?
 
Kweli we bado lolani Kalu moja wapo ya journalist wazuri Kenya unasema humjui? VP Yule Leonard mambo mbotela alieshindwa kulipia gharama za matibabu akasaidiwa humjui pia sindio?
Leonard ni msanii alafu ona ulivyokua bwege, hospital bills wengi tu zinawashinda..
Kwn kuwa na assets ndio kuwa na uwezo wa kulipia ksh1m cash kw mkupuo sio
 
Leonard ni msanii alafu ona ulivyokua bwege, hospital bills wengi tu zinawashinda..
Kwn kuwa na assets ndio kuwa na uwezo wa kulipia 1m cash sio
Dogo mbona unaji changanya ? Au steam za muguka na Miraa? Weiye siunasema ma celeb wengi wakenya wanazo hela au sio wewe?
 
Sasa si hyo internet pentration inawachangia km ulivyosema..

Mida ingine kaa ukitafakari kabla ya kuandika vitu, unaweza kuwa maarufu na kupata 1bn views youtube lkn bado followers wakacheza millions..

Sio kila mtu anakupenda wewe wengine hupenda kazi zako na sio zote au hata kupenda walio karibu nawe kukachangia uone ni km wapendwa kumbe kuna flani kachangia
Ww hata hujui unacho ongea ....kwani hujui mana ya side effect wew? Nchi ikiw na n high penetration of internet side effect yake lazima ionekane
 
Ww hata hujui unacho ongea ....kwani hujui mana ya side effect wew? Nchi ikiw na n high penetration of internet side effect yake lazima ionekane
Kwhyo mnawazidi wasauzi au wale waarab kule north
 
Another day another High-rise. Tanzania walijenga High-rise tatu wakaishiwa pesa
12833250_screenshot20201213195152_jpeg023dd358dd2e27aa0e928051b7d9cc24.jpeg
12833252_screenshot20201213195129_jpeg5c651def7f920d120bd147a57ee6620a.jpeg
 
Back
Top Bottom