ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Umenuna 🤣🤣🤣🤣🤣Not interested..
Umenuna 🤣🤣🤣🤣🤣Not interested..
Ningeshangaa sana kama ungepost hii soko lenu moja



Watauchukua,lakini hadi miaka yao 30 ipite,pindi ambayo washapiga mchele wao wa kutosha hahaaa huyo ndo chung ching,wavimba macho,wazee wa kubonyeza kizenji hasa wakikutana na watu wapenda msererekoWambieni wachina wauchukue basi
We ni mpuuzi sana kumbe, eti kawa nominated kw ngoma za mwaka upi uleWe vp!?..kawa nominated 2020 kwa ngoma za mwaka jana,ngoma za mwaka huu subiri mwakani kama atakuwepo
Duh,swali lako limenifanya nijiulize mara 2 kwamba mziki wenyewe unauelewa kweli!



🤣🤣🤣🤣👇👇👇 hii hutaki kwaniNingeshangaa sana kama ungepost hii soko lenu moja![]()
We ni mpuuzi sana kumbe, eti kawa nominated kw ngoma za mwaka upi uleWe vp!?..kawa nominated 2020 kwa ngoma za mwaka jana,ngoma za mwaka huu subiri mwakani kama atakuwepo
Duh,swali lako limenifanya nijiulize mara 2 kwamba mziki wenyewe unauelewa kweli!



Sisi sio kama nyie,mnanunua treni kama mnanunua biscuits🤣😁Hakuna treni mlizoeka oda hko nyie, zile ni longo longo tu
Tatizo hamna msanii aliyekua nominated BET na kujisifu kwenu, hta kw movie pia ni hvo hvo..Sisi kimziki hatuzumzi nanyi..hakuna battle hapa,unanipotezea muda wangu bure
We have bigger and better markets than that godown


Nani kaongopa mkiambiwa ukweli hamutaku munabaki kulia kisa tanzania inajenga baadhi ya phase kwa pesa yake
View attachment 1651751


Hii soko iko 500km away from dar🤣🤣👇Ningeshangaa sana kama ungepost hii soko lenu moja![]()
Kuna lijamaa flani hivi limefanya kolabo 20 na wanamziki wa bongo,ndo limepata umaarufuNdo nani uyo mbn cmjui?
Umepanic sasa 🤣🤣🤣🤣👇👇👇soko lipo 500km from darWe have bigger and better markets than that godown![]()
200km away fro dar moro town🤣🤣👇👇We have bigger and better markets than that godown![]()
Endeleeni kutafuta hela za kununua treni kwanzaSisi sio kama nyie,mnanunua treni kama mnanunua biscuits
Dah nyie jamaa ni kiboko aaisee,sijawahi ona



Mwenzako kaingia kw kilometersWe have bigger and better markets than that godown![]()


Sasa mimi nakuuliza maswali 2 tu,ili nione je unajua unachokizungumzia!We ni mpuuzi sana kumbe, eti kawa nominated kw ngoma za mwaka upi ule
We unafikiria wanaposema song of the year, collabo na video zinashinda za 2019 sio..
Kumbe hata hujui BET inafanya kazi kivipi, unajua kwnn hufanyika kila mwisho wa mwaka wala sio mwanzo..
Siku ingine utachekwa na hyo kauli yako, yani mpka hili pia unataka upindishe ndio iingiliane na poin yako..
Kazi ya ppp hyo sasa, au we ilikua watakaje labda ukienda mahakama ya EA utaskizwaWatauchukua,lakini hadi miaka yao 30 ipite,pindi ambayo washapiga mchele wao wa kutosha hahaaa huyo ndo chung ching,wavimba macho,wazee wa kubonyeza kizenji hasa wakikutana na watu wapenda mserereko


Another godown

. Ruiru is better than it


.Location halis bado lakini maeneo ya mwenge idea nzuri 👍hee! kwan hii stand na uwanja wa mpira vinajengwa wap? nasikia march 2021 ianze kutumika
![]()
Kituo cha daladala Mwenge kuanza kutumika Machi 2021
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Aboubakar Kunenge ameitaka Manispaa ya Kinondoni na mkandarasi kutoka JKT kuhakikisha ujenzi wa kituo cha daladala Mwenge na maduka 126 vinakamilika kabla ya February 28 na kuanza kutumika Machi Mosi 2021 ili kiweze kutoa huduma kwa wananchi kama ilivyokusudiwa...swahilitimes.co.tz