Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wambieni wachina wauchukue basi
Watauchukua,lakini hadi miaka yao 30 ipite,pindi ambayo washapiga mchele wao wa kutosha hahaaa huyo ndo chung ching,wavimba macho,wazee wa kubonyeza kizenji hasa wakikutana na watu wapenda mserereko
 
We vp!?..kawa nominated 2020 kwa ngoma za mwaka jana,ngoma za mwaka huu subiri mwakani kama atakuwepo

Duh,swali lako limenifanya nijiulize mara 2 kwamba mziki wenyewe unauelewa kweli!
We ni mpuuzi sana kumbe, eti kawa nominated kw ngoma za mwaka upi ule
We unafikiria wanaposema song of the year, collabo na video zinashinda za 2019 sio..

Kumbe hata hujui BET inafanya kazi kivipi, unajua kwnn hufanyika kila mwisho wa mwaka wala sio mwanzo..
Siku ingine utachekwa na hyo kauli yako, yani mpka hili pia unataka upindishe ndio iingiliane na poin yako..
 
Ningeshangaa sana kama ungepost hii soko lenu moja
🤣🤣🤣🤣👇👇👇 hii hutaki kwani
83197B9C-27BE-4662-B606-6CD569FEA209.jpeg
2330B03C-6324-43F4-8B7E-FDB6575FBF28.jpeg
57C0C1F3-7928-441B-B239-C297FAC141C2.jpeg
 
We vp!?..kawa nominated 2020 kwa ngoma za mwaka jana,ngoma za mwaka huu subiri mwakani kama atakuwepo

Duh,swali lako limenifanya nijiulize mara 2 kwamba mziki wenyewe unauelewa kweli!
We ni mpuuzi sana kumbe, eti kawa nominated kw ngoma za mwaka upi ule
We unafikiria wanaposema song of the year, collabo na video zinashinda za mwaka uliopita sio..ile ni BET 2020 na 2019 ni vitu viwili tofauti

Kumbe hata hujui BET inafanya kazi kivipi, unajua kwnn hufanyika kila mwisho wa mwaka wala sio mwanzo..
Siku ingine utachekwa na hyo kauli yako, yani mpka hili pia unataka upindishe ndio iingiliane na poin yako..
 
Sisi sio kama nyie,mnanunua treni kama mnanunua biscuits

Dah nyie jamaa ni kiboko aaisee,sijawahi ona
Endeleeni kutafuta hela za kununua treni kwanza
Naona lkn mchina kaja kuokoa jahazi angalau na nyie mtapata hela za kununu treni
 
We ni mpuuzi sana kumbe, eti kawa nominated kw ngoma za mwaka upi ule
We unafikiria wanaposema song of the year, collabo na video zinashinda za 2019 sio..

Kumbe hata hujui BET inafanya kazi kivipi, unajua kwnn hufanyika kila mwisho wa mwaka wala sio mwanzo..
Siku ingine utachekwa na hyo kauli yako, yani mpka hili pia unataka upindishe ndio iingiliane na poin yako..
Sasa mimi nakuuliza maswali 2 tu,ili nione je unajua unachokizungumzia!
1.kaligraph alitokea kwenye category ngapi?
2.ni category gani alikuwa nominated?

Jibu hayo maswali nikufundishe kitu mrembo
 
Watauchukua,lakini hadi miaka yao 30 ipite,pindi ambayo washapiga mchele wao wa kutosha hahaaa huyo ndo chung ching,wavimba macho,wazee wa kubonyeza kizenji hasa wakikutana na watu wapenda mserereko
Kazi ya ppp hyo sasa, au we ilikua watakaje labda ukienda mahakama ya EA utaskizwa
 
hee! kwan hii stand na uwanja wa mpira vinajengwa wap? nasikia march 2021 ianze kutumika
Location halis bado lakini maeneo ya mwenge idea nzuri 👍
 
Back
Top Bottom