Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fish eye

IMG_3951.jpg
 
Yaani nishida kwa kweli nilikuwa na wakati mgumu ikifikia usafiri wao unawaza Kwanza,vibaka wanakuwa wengi mlangoni ukikaa dirishani labda unatumia smartphone yako mwanangu unaibiwa tukianza swala la usalama Nairobi zero kuna eneo moja wanaita River road unaibwa mchana kweupe hakuna msaada wowote Ila maswali ya kisenge ndugu umeibiwa nini?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwn ulilazimishwa kupanda nganya, si yapo magari ya sacco pia
 
Yani Kenya wengi wanaishi chini ya Dola moja, Nairobi nyumba gharama ziko juu,chakula kizuri kwao lazima ugaramikie au sivyo utakula vitu vya ajabu uarishe kutwa nzima,kingine jamaa hawazingatii usafi unaweza uka kuta mgahawa pembeni maji taka yanapita,kwa kweli tumshukuru mungu kwa Tanzania yetu hata kama kuna umaskini sio umaskini wa njaa na style hiyo😏
 
Yani Kenya wengi wanaishi chini ya Dola moja, Nairobi nyumba gharama ziko juu,chakula kizuri kwao lazima ugaramikie au sivyo utakula vitu vya ajabu uarishe kutwa nzima,kingine jamaa hawazingatii usafi unaweza uka kuta mgahawa pembeni maji taka yanapita,kwa kweli tumshukuru mungu kwa Tanzania yetu hata kama kuna umaskini sio umaskini wa njaa na style hiyo[emoji57]
Nenda jozy uone km utakuta chakula kw bei ya nyanya
 
Kwn ulilazimishwa kupanda nganya, si yapo magari ya sacco pia
Kwani nganya hazipo ndani ya Sacco?,hata ukisema upande city hoppa au,city shuttle,kbs etc kuna wazee pickpocket ndani kwa hiyo ni mtihani
 
Bado nilikuwa nashangaa ni aje Kenya ikuwe na silaha zimezeeka hivyo[emoji23][emoji1787][emoji23]. Bahati nzuri mkasema hizo ni silaha za Tz[emoji23][emoji23][emoji1787]
we kila siku huwa unaumbuka....

hakuna ujualo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

niendelee kukucgeka tu kwa kweli
 
hizo zinazowaka ni meli kubwa ziko kwenye folen.. sijaweza kupiga zote.. ni pale coco beach.. hata ukienda saiz utazikuta
View attachment 1648346View attachment 1648348View attachment 1648351
NDINDA kama uko karibu na cocobeach.. pitia hapa upige picha
Huyo ndio JPM alishasema hakuna port iliyokaa kimkakati km Dar port kwa Afrika hii, so ni aibu kuzidiwa na port ushuzi na ss wameanza kuisoma namba, meli 11 kwa wakati mmoja c mchezo, yn imefika kipindi traffic jam mpk baharini [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom