Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kw akili zako floating bridge ni nn, angalau nataka kujua uwezo wako wa kung'amua mambo wala sio kupiga porojo tu
Ukitaka kujua floating bridge ni kitu gani,kitu cha kwanza kabisa uelewe maana ya neno "float" kisha "floating"
Ukishindwa kuelewa kabisa,muone nixcie akueleweshe,maana huyo English anaijua kiasi
Achana na teargas atakuambukiza ukilaza
 
Uliandika hivi.
Ebu tuambie hiyo ni jeshi la wapi kama sio ya Kenya?
Nikakujibu hivi ikabidi ubadilishe gia.
Kwa hiyo siku hizi jeshi lenu linavaa gwanda za JWTZ! View attachment 1647663
Ulivyo kuwa unangangania kuwa hilo ni jeshi la kenya hukuona haya uliyo yaandika hapa?
Nunueni silaha bana. Yani kazi ni kungoja hili mupewe vitu za bure
Heri mjinga unaweza mfundisha akawa mjanja ila mpumbavu
 
Opinion?!?? Hujaona picha alizoweka mwenzako,makamanda wapo photo shoot studio!

Ndo maana mujahdeen,wazee wa al-kasusu wanawajambisha ile mbaya kwa hakuna kamanda hapo,wote ni mabishoo,wauza sura,wazee wa maphoto kama diamond au konde boyyy
Do you know the meaning of showcasing?
Everything in the millitary has a purpose budaa.
 
Uliandika hivi. Nikakujibu hivi ikabidi ubadilishe gia. Ulivyo kuwa unangangania kuwa hilo ni jeshi la kenya hukuona haya uliyo yaandika hapa?
Heri mjinga unaweza mfundisha akawa mjanja ila mpumbavu
Bado nilikuwa nashangaa ni aje Kenya ikuwe na silaha zimezeeka hivyo. Bahati nzuri mkasema hizo ni silaha za Tz
 
Ukitaka kujua floating bridge ni kitu gani,kitu cha kwanza kabisa uelewe maana ya neno "float" kisha "floating"
Ukishindwa kuelewa kabisa,muone nixcie akueleweshe,maana huyo English anaijua kiasi
Achana na teargas atakuambukiza ukilaza
Swadakta, kwhyo ilkua wajua mbna basi wajitoa ufahamu km ilkua una uelewa..
Au ni majungu wala hupo serious
 
We don't fight the poor, we console them
Museveni tu mmemshindwa,na mingingo island kawapora..na mkia mmeufyata
Juzi hapa ethiopia kadungua ndege zenu,na kajitangaza kabisa..lakini mmeogopa mmeunyuti kimyaa as if nothing happened..!
Nyie ni hopless tu,na tz hamuiwezi,pambaneni na hao vijana wetu wa ki-tz waliopo mujahdeen mujarab
 
Museveni tu mmemshindwa,na mingingo island kawapora..na mkia mmeufyata
Juzi hapa ethiopia kadungua ndege zenu,na kajitangaza kabisa..lakini mmeogopa mmeunyuti kimyaa as if nothing happened..!
Nyie ni hopless tu,na tz hamuiwezi,pambaneni na hao vijana wetu wa ki-tz waliopo mujahdeen mujarab
Sasa unataka tupiganie migingo kwani nini iko huko? We are aiming for oil wells along Somalia coastline wewe unakuja na mambo za migingo, huko hatuezituma hata watchmen
 
Bado nilikuwa nashangaa ni aje Kenya ikuwe na silaha zimezeeka hivyo. Bahati nzuri mkasema hizo ni silaha za Tz
Kama tu wanamgambo wa Somalia wanatumia silaha zilizozeeka na wanawapapasa hamna hamu nao imagine wangepata silaha za kisasa
 
Back
Top Bottom