Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787] Tanzania only have four functional jets and four helicopters[emoji23][emoji23][emoji116]
Huna akili, pumbavu
IMG_20201212_190322_771.JPG
 
Lini hao walipigwa RPG, wajua we unaongea tu walai..usiombe kabisa nakwambia..

Mziki kabla haujatua unashtushwa uluzi kwanza sekunde nichache hujajipanga ushatua ukitoka hivi wenzako hawana viuno..hujakaa vizuri mbili zishatua we unaongea tu wala hujui
jibu ushapewa na umeumbuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa kweli umenichekesha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora nikae bongo kwetu
Kila unapozidi kupanda nayo mambo hubadilika, toka jozi nenda cairo alafu uingie europe na marekani alafu urudi na ngano zako za rahisi..

Ukitaka rahisi ni basi ukatulia kweli hko au uende kw majirani zako akina congo na uganda ndio utapata vyakula vya ubwete
 
Kwani nganya hazipo ndani ya Sacco?,hata ukisema upande city hoppa au,city shuttle,kbs etc kuna wazee pickpocket ndani kwa hiyo ni mtihani
We basi utakua ni zuka kweli, yani waibiwa mjini kizembe hvo
 
Onaa hii yn ikiisha ubungo interchange inafata hii cz aliyeshinda kandarasi ndo huyo huyo aliyejenga ubungo interchange a.k.a homa ya EA [emoji116][emoji116][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1648375
Sasa unatupigia kelele na project moja wakati Mombasa next year will build three bridges that will be better than that[emoji23][emoji1787][emoji23].
 
Back
Top Bottom