Mungu awape imani na subra😀😀Hyo ni steal jomba,
Nisawa,,itakuwa tu bridge ya kwaida Kama tu ya ubungo
munaendelea kujenga au mumewapa nafas wachina wafanyw wanachotaka😀😀😀 kama kwwne SGR na viboko mulitandikwaWewe cheka tu. Sisi tunaendelea kujenga
Wakati tayari Tz ni India ya East and central Africa kweli umechelewa







Ya ubungo ni ya kawaida kwamba mnayo km ileNisawa,,itakuwa tu bridge ya kwaida Kama tu ya ubungo







Noma sana mkuu dah🤣🤣,ghafla uko disco kwa lazima.Umeona mkuu,unakuta Una mastres yako unataka utulivu, speaker inaanza kudunda,kidogo kidogo Mataa ya lesser yamewashwa hapo siunachanganyikiwa😏
Hawa jamaa wanategemea Nairobi tu ,wakati bongo mikoa yote ina huduma nzuri na nafuu! Kenya unakuta hospital kubwa haina madawa maDaktari wamefungua ma pharmacy zao kwa hiyo wanakutuma huko ukanunue dawa🙂 mwisho wa siku wagonjwa wanaona Bora waende kwenye private hospitals.Endelea kuota.
![]()
WAKENYA WAMIMINIKA TANZANIA KUPATA MATIBABU
fullshangweblog.co.tz
Bila kusahau migomo ya madaktari na wauguzi isiyoisha kenya.Hawa jamaa wanategemea Nairobi tu ,wakati bongo mikoa yote ina huduma nzuri na nafuu! Kenya unakuta hospital kubwa haina madawa maDaktari wamefungua ma pharmacy zao kwa hiyo wanakutuma huko ukanunue dawamwisho wa siku wagonjwa wanaona Bora waende kwenye private hospitals.
Yaani nishida kwa kweli nilikuwa na wakati mgumu ikifikia usafiri wao unawaza Kwanza,vibaka wanakuwa wengi mlangoni ukikaa dirishani labda unatumia smartphone yako mwanangu unaibiwa tukianza swala la usalama Nairobi zero kuna eneo moja wanaita River road unaibwa mchana kweupe hakuna msaada wowote Ila maswali ya kisenge ndugu umeibiwa nini?😂😂😂😂😂Noma sana mkuu dah🤣🤣,ghafla uko disco kwa lazima.
Umeaona tuwaombee majiran zetuBila kusahau migomo ya madaktari na wauguzi isiyoisha kenya.
Noma sana.Yaani nishida kwa kweli nilikuwa na wakati mgumu ikifikia usafiri wao unawaza Kwanza,vibaka wanakuwa wengi mlangoni ukikaa dirishani labda unatumia smartphone yako mwanangu unaibiwa tukianza swala la usalama Nairobi zero kuna eneo moja wanaita River road unaibwa mchana kweupe hakuna msaada wowote Ila maswali ya kisenge ndugu umeibiwa nini?😂😂😂😂😂
Halafu wakiambiwa failed state wanaleta machunguUmeaona tuwaombee majiran zetu



Facts ni kwamba majeshi ya Somali,Djibouti,Burundi,Ethiopia,Uganda na Kenya yanapigana na alshabaab.Punguza propaganda!Facts ni kwamba KDF imeshindwa kuwamaliza Alshabaab badala yake KDF wameuliwa wengi na silaha zao kutekwa na kuharibiwa, wakati TPDF ndani ya wiki mbili wamewashindia magaidi Msumbiji, zaidi ya facts za ushindi, ni fact gani tena muhimu za jeshi?![]()
Huwa nawambia ubabe ni swala la muda,na dharau zina mwisho wake tena naomba waendele na uongozi walio nao sahivi 😂😂😂😂Halafu wakiambiwa failed state wanaleta machungu![]()
Usisahau chopa zinazodondoka kila sikuBila kusahau migomo ya madaktari na wauguzi isiyoisha kenya.






