The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ataku block uyo ana hasira za kitoto snKwan we huoni kama ni render![]()



Wivu inakusokota.A danm huge white Elephant, just like the Chinese SGR and loss making & dying KQ
Mpuuzi ww, unapenda sehemu safi eehh, jengeni co kuiba area za watu.Mbna unakwepa swali, umeambiwa NAMATA ndio nembo ya mabasi yetu sasa wewe km unajua sana reverse hyo picha manake naona umeshindwa kuleta nchi ambayo inatumia hilo jina kw mabasi yao ya BRT
Hii expressway sio kilomita zote ni flyover. Kuna kilomita ambazo zipo chini na kuna ambazo zipo juu. Halafu cost ni $670 million.Hivi cost ni sh ngap maana naona $600mil.kama kidogo for 27kilometers
Ubungo imecost 99mil usd...of couse ni 6 lanes labda ndo maana
.na pia imehusisha kujenga madaraja ya chini manne apart from the interchange ..
A render of the new Nairobi Commuter rail central station.
Wow. Jesus. Where will that render be built?
Nyie mbona hamna huduma ya ndege inayofika Nairobi? Anza kuringa ile siku ndege zenu zitaanza kukatiza anga kuja Kenya. Lakini kwa sasa sisi hatutabishana na vitoto ambavyo ndio kwanza vinajifunza kukatiza anga nje ya nchi yao. Hata South Africa bado hamfiki wakati sisi tunafika USA?Bahati yako, I don't abuse women in my life,
ATCL owns a fleet of brand new 11 Planes plus 5 on order, KQ owns 3 aircrafts, a reason of massively making loses over a century,
By the way, av been flying with KQ in most of my trips to Nairobi, they are good kwa onboard Services. Only corrupt management is what fails Kenyans.
Usisahau kuna project ya Tanga bus stand piaMwana nenda maeneo yafuatayo kuna Jambo
Kiwanja kizuri.
Bonasera karibu na NSSF Tourism Hotel U/G ulipokuwa Bank M.
Projects.
Nyegezi Bus Terminal
Nyamhongolo Bus Terminal
Mwanza International Airport
Mwanza Central Market(Tanganyika Bus)
Boats
Mwanza South-Mv Hapa Kazi Th
Ilemela
Ilemela Municipal Building
Kenya imelaaniwa na MunguTunazungumziaje BBI
Kwhyo hutaki kuamini km hyo ndio nembo yetuMpuuzi ww, unapenda sehemu safi eehh, jengeni co kuiba area za watu.
Naona umekuja kinafiki sasaBahati yako, I don't abuse women in my life,
ATCL owns a fleet of brand new 11 Planes plus 5 on order, KQ owns 3 aircrafts, a reason of massively making loses over a century,
By the way, av been flying with KQ in most of my trips to Nairobi, they are good kwa onboard Services. Only corrupt management is what fails Kenyans.
Uhunye na kundi lake wanaibia wakenya mabilioni ya dollar kila sikuMagufuli ndio mwizi namba moja. Aliiba kura peupe.


Sana boss kuna club inaitwa Redstone iko moshi kiukweli ni moja ya club nzuri TzAisee nimeenda december 2019, sina updates, nimemiss Arusha na Moshi ule mji mtamu sana wa Wachaga
iishe nini ???🤣🤣🤣🤣🤣Ngoje iishe ndio uanze kulonga lkn kw sasa taarab haziruhisiwi