Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bonge la video,nmependa Sana iyo scene ya oysterbay na izo road zitakua pana zaidi,btw I wonder kwann wanaita mombasa city
After watching this short video I can confidently say that Nyali is better than oyesterbay
 
Joto lakini inawezekana kuwa ni stations pekee zitakazoinuliwa juu na brt yenyewe ikawa chini. Bado sijaona hio design yake. Wacha tutajua baadaye. Ila fact ni kwamba Brt inajengwa Kenya na wala sio mambo ya kupaka rangi.
Sio tu haitakuwa elevated bali pia haitokuwa concrete, ni rangi tu ndio mtapaka.
 
Incoming...................

33fe2829-31b2-4407-a8a5-74d8199c68de-jpeg.817744
What is this?
 
Nice kma ni afforda affordable kweli ila project zenu nyng zinaishiaga renders au foundation kazeni buti
Hujui unachosema. Wewe nadhani unaidharau Kenya sana. Usichokijui ni usiku wa giza. Tembea Kenya uwache kudhani Tanzania ni ulaya.
 
I am actually waiting for a new bridge ...at Jangwani...i think something is coming soon

In health facilities...Nilikuwa Mloganzila Leo...Ujenzi unaendelea wa New Cardaic Facility JKCI at Mloganzila..which will have 350beds...bigger than the current 130bed facility at MNH Upanga cost will be around $45mil
Una render au progress ya JKCI Mloganzila?
 
Sio tu haitakuwa elevated bali pia haitokuwa concrete, ni rangi tu ndio mtapaka.
Lazima barrier itajengwa pia kuseparate brt lane na lane zingine. Sio mambo ya kupaka rangi bali ni kujenga barrier. Punguza ushamba.
 
Back
Top Bottom