Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DSM
9kms From CBD

IMG_20200910_051536.jpg
 
So mnapishania kulia cku hz na abiria ni wazungu tu, wallahi jokes will never end
Mbna unakwepa swali, umeambiwa NAMATA ndio nembo ya mabasi yetu sasa wewe km unajua sana reverse hyo picha manake naona umeshindwa kuleta nchi ambayo inatumia hilo jina kw mabasi yao ya BRT
 
Unaona machinga, chokora hapo? Cheki usafi uliopo hapo bro mjifunze
Kha!!
Si nlikwambia nitakuumbua jamani
Alafu nasubiria unionyeshe wamachinga katika ile picha umequote, lkn naona umeanza kujeuza gear anagani
 
Ndio hii double track SGR ya Nigeria iliyoanza testing juzi. Imejengwa na Wachina. Nataka kusikia ng'ombe za Kitanzania zikicheka SGR ya Nigeria.

 
Kha!!
Si nlikwambia nitakuumbua jamani
Alafu nasubiria unionyeshe wamachinga katika ile picha umequote, lkn naona umeanza kujeuza gear anagani
Bro Sisi tunafanya mambo kwa mpangilio cheki stendi ilivo kaa nawapa mda tuone stendi yenu ikigeuzwa muthurwa Ile soko yenu
 
Back
Top Bottom