komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Uzuri umeshakubali kimya kimya hayo mengine tunasema ni maruerue tu ya sindano zilizopenyaHahahaaaa so mnaipaka rangi Thika road pale katikati zen mnaandika "only brt" naona kuna watu wanaenda kula pesa ya kutosha hapa.
Wakenya nawaonea huruma sana cz viongozi wenu hawana uzalendo kabisa, wamekurupuka ili kwenda sawa na Tz
Sent using Jamii Forums mobile app


