Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Incoming...................

33fe2829-31b2-4407-a8a5-74d8199c68de-jpeg.817744
 
Mradi ambao hauleti mapato ya kutosha kwa nchi. Failed project. Hio port yenu huwezi kuniambia kuwa inapakua mizigo nyingi kiasi cha kuifanya iwe a viable project.
Mtwara ilikuwa na Berth 2 na bado ina berth mbili mpka sasa zenye urefu wa 385meters..

GOT is spending $214m..kujenga new berth of 300meters with a capacity to handle bigger ships of upto 65k tonnes in dead weight...na kuifanya kuwa cargo terminal mpya...

Hii itaboost uwezo wa mtwara kutoka 400k to 1.2mil. Uwezo wa ku handle mizigo...

How is that white elephant?

Mtwara last year ime handle around 300k which is 75% of its capacity...

Mtwara na Lindi inajulikana kwa kulima korosho..ambazo ndo majority ya mzgo around 200k ..kuna coal huchimbwa songea ..na hutumia port ku export...bado mchuchuma yenye coal nying haijaanza kuchimbwa...huwa tuna export coal hadi Kenya...

So expect more coal exports through mtwara port..

Na pia tunafungua southern corridor ambayo ilikuwa imelala..kuna mpango wa kuweka SgR in coming years ..that will go through the port
 
Kenya is a construction site right now. This are to be built in Kisumu and groundbreaking was done today.
FB_IMG_16075237734299885.jpeg
 
Izo nyumba Ni pesa kidogo sana,construction site ni Tz tunajenga SGR, JN Hydroelectric Dam,BRT Phase II, Barabara kibao
I am actually waiting for a new bridge ...at Jangwani...i think something is coming soon

In health facilities...Nilikuwa Mloganzila Leo...Ujenzi unaendelea wa New Cardaic Facility JKCI at Mloganzila..which will have 350beds...bigger than the current 130bed facility at MNH Upanga cost will be around $45mil
 
Back
Top Bottom