Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,951
- 27,921
Siezikasirikia hii Kanisa 

Ushaanza kukasirika sasa utaamini taratibu mdogo mdogo![]()

Ushaanza kukasirika sasa utaamini taratibu mdogo mdogo![]()
👍👍👍👍😂😂😂 jitahidi ongeza jitihada
Kanisa la jubilee au sio 😅😅😅😅

Sisi tutakopa mpaka 150% wanafkiri ni sawa kunywa chang’aa
Tangu NCR ianze kazi zile kelele za BRT ziliisha
Nakimbia vp wakat tutakopa mpaka asilimia 150%😀😀😀😀😀😀


Nakimbia vp wakat tutakopa mpaka asilimia 150%![]()
Nataka but umeumia sana kusikia commuter rail ipo dar ina zaidi ya miaka 8 sasa inafanya kazi 😅😅😅😅😅😅
Hii takataka haieziniumaNataka but umeumia sana kusikia commuter rail ipo dar ina zaidi ya miaka 8 sasa inafanya kazi![]()
BRT hutaipata kenya mpaka yesu ashuke mark my words


. Hata sisi tunaona pia 😅😅👇👇👇Hii takataka haieziniuma.
Goodnight.View attachment 1636293View attachment 1636294View attachment 1636295
Acha kulinganisha DMUs na Hzo basi zenu, mtachekwaHivi umeelewa nilichokuuliza? Nimekuuliza uniambie hiyo technology na modernity ya commuter railway yenu.
Ndio umeshaanza kutuonyesha mzee wa kutoka kiwandani kule spain..Mungu atupe uhai tutaona mengi sana


Unacheka au ni mafeelings ume catchNacheka mwenzako anavohangaika na picha moja ansikia kuzaa kisa tanzania ina BRT nyinyi hamuna![]()

Utopolo, hauna hata hadhi!!km mabasi ya mikoani vile


Is old but modern,we love the train,it feels comfortable in there,Nairobi computer railway!!??!!
Tangu lini mtumba ukawa modern??!..yaani uhispania watumie kwa miaka 40 halafu leo uje huku uwe modern!??..
Wacha utaniis
Ubungo terminal imehamia mbezi luis,pale ubungo terminal ndio itakua stand kuu mpya ya brt bibieBrt wamefeli vibaya sana, yani kila mwaka lazima kufurike![]()