Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,953
- 27,931
Nikakuambia kuwa hiyo kichaka ni two times wealthier than Dar.
Hiyo ni reply yangu ya pili niliyokujibu baada ya wewe kuchomekea mambo ya wealth wakati mada ilikuwa ni kilimani ni kichaka a.k.a bush usiwe mwepesi kusahau


