Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tunatumia online recharging cards mzee pesa yako inakaa kwenye kadi yako ukifika una swipe unakwenda hakuna mambo yakukaa foleni kusubiri ticket
Obviously kuna mtu mwenye hajui meaning ya automated ticketing. Anyway acha tusonge mbele, Nairobi commuter stations Vs BRT stations View attachment 1636186
tapatalk_1606499055332.jpeg
FB_IMG_16064959610248730.jpeg
 
Brt wamefeli vibaya sana, yani kila mwaka lazima kufurike
Eti BRT wamefeli wakat hio hata sio kituo ni just parking area ya BRT buses 😀😀😀😀 tuko na phase 2 sasa hzi huku phase 3 maandalizi yakianza unauzngumza mambo ya kufeli au unafkiri hii ni ile SGR ya mchina ilioshia machakani 😅😅😅😅
 
Eti BRT wamefeli wakat hio hata sio kituo ni just parking area ya BRT buses tuko na phase 2 sasa hzi huku phase 3 maandalizi yakianza unauzngumza mambo ya kufeli au unafkiri hii ni ile SGR ya mchina ilioshia machakani
Mumefeli kweli kwn uongo
 
Back
Top Bottom