ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,116
- 135,662
Yani wameona automated ticketing ni ya kisasa ππππ wakat sisi tuko kwenye online recharging cardsdah, jamaa ni washamba kinoma
Yani wameona automated ticketing ni ya kisasa ππππ wakat sisi tuko kwenye online recharging cardsdah, jamaa ni washamba kinoma
From zimbabwe ππππππ
Station ya commuter nairobi hadhi yake ni garage ya dar brt buses,fair competition thouπππ€£Obviously kuna mtu mwenye hajui meaning ya automated ticketing. Anyway acha tusonge mbele, Nairobi commuter stations Vs BRT stations View attachment 1636186View attachment 1636189View attachment 1636187
Hiyo station ya Nairobi commuter Railway imeshinda zile vibanda vyenu vya SGR. Ama unapinga?Station ya commuter nairobi hadhi yake ni garage ya dar brt buses,fair competition thou
Ohh sisi BRT thika road πππ nyenye BRT ni simple tu sawa na kula githeri
Ohh sisi BRT thika road nyenye BRT ni simple tu sawa na kula githeri
Watu wanahangaika na BRT miaka mitatu sasa ohh sisi tunajenga BRT labda mukajengee mbinguni πππππUtazunguka alafu mwishowe utarudi tu hukuView attachment 1636234View attachment 1636235View attachment 1636236View attachment 1636237
Kwa vile uliskia dar hakuna commuter train au??? Kinachokuuma ww kwann kenya hakuna BRT π π π π πUmekimbia Commuter rail?
Hapa hata nguruwe haiezikaishiWatu wanahangaika na BRT miaka mitatu sasa ohh sisi tunajenga BRT labda mukajengee mbinguni
na mtu anauliza kabisa eti mna automated tickets, kweli ushamba mzigoYani wameona automated ticketing ni ya kisasa wakat sisi tuko kwenye online recharging cards
Umesha-change topic tayariHiyo station ya Nairobi commuter Railway imeshinda zile vibanda vyenu vya SGR. Ama unapinga?
Haijawah kutokea africa na haitatokea historia hio ππππππUtazunguka alafu mwishowe utarudi tu hukuView attachment 1636234View attachment 1636235View attachment 1636236View attachment 1636237
π π π π π π π acha kabisa hio kitu inawaumiza kindakindaki kwasababu wao wamefeli pamoja na kupoteza taxpayers moneyUmesha-change topic tayari
Leo nimegundua jinsi BRT inavyowatesa wakenya na serikali yao
Ataishi hapa ππππππ huyo nguruweHapa hata nguruwe haiezikaishiView attachment 1636239
Unaongelea hii?.Kwa vile uliskia dar hakuna commuter train au??? Kinachokuuma ww kwann kenya hakuna BRT