ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Yani wameona automated ticketing ni ya kisasa ๐๐๐๐ wakat sisi tuko kwenye online recharging cardsdah, jamaa ni washamba kinoma
Yani wameona automated ticketing ni ya kisasa ๐๐๐๐ wakat sisi tuko kwenye online recharging cardsdah, jamaa ni washamba kinoma
From zimbabwe ๐๐๐๐๐๐
Station ya commuter nairobi hadhi yake ni garage ya dar brt buses,fair competition thou๐๐๐คฃObviously kuna mtu mwenye hajui meaning ya automated ticketing. Anyway acha tusonge mbele, Nairobi commuter stations Vs BRT stationsView attachment 1636186View attachment 1636189View attachment 1636187
Hiyo station ya Nairobi commuter Railway imeshinda zile vibanda vyenu vya SGR. Ama unapinga?Station ya commuter nairobi hadhi yake ni garage ya dar brt buses,fair competition thou![]()



Ohh sisi BRT thika road ๐๐๐ nyenye BRT ni simple tu sawa na kula githeri


Ohh sisi BRT thika roadnyenye BRT ni simple tu sawa na kula githeri
Watu wanahangaika na BRT miaka mitatu sasa ohh sisi tunajenga BRT labda mukajengee mbinguni ๐๐๐๐๐Utazunguka alafu mwishowe utarudi tu hukuView attachment 1636234View attachment 1636235View attachment 1636236View attachment 1636237
Kwa vile uliskia dar hakuna commuter train au??? Kinachokuuma ww kwann kenya hakuna BRT ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Umekimbia Commuter rail?![]()
Hapa hata nguruwe haiezikaishiWatu wanahangaika na BRT miaka mitatu sasa ohh sisi tunajenga BRT labda mukajengee mbinguni
Yani wameona automated ticketing ni ya kisasawakat sisi tuko kwenye online recharging cards



na mtu anauliza kabisa eti mna automated tickets, kweli ushamba mzigoUmesha-change topic tayariHiyo station ya Nairobi commuter Railway imeshinda zile vibanda vyenu vya SGR. Ama unapinga?![]()
Haijawah kutokea africa na haitatokea historia hio ๐๐๐๐๐๐Utazunguka alafu mwishowe utarudi tu hukuView attachment 1636234View attachment 1636235View attachment 1636236View attachment 1636237
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ acha kabisa hio kitu inawaumiza kindakindaki kwasababu wao wamefeli pamoja na kupoteza taxpayers moneyUmesha-change topic tayari
Leo nimegundua jinsi BRT inavyowatesa wakenya na serikali yao
Ataishi hapa ๐๐๐๐๐๐ huyo nguruweHapa hata nguruwe haiezikaishiView attachment 1636239
Unaongelea hii?.Kwa vile uliskia dar hakuna commuter train au??? Kinachokuuma ww kwann kenya hakuna BRT![]()






