Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,953
- 27,939
😂😂😂😂😂😂😂😂Mungu atupe uhai tutaona mengi sanaUumie kisa ulihusika kuzitengeneza hyo miaka 30 iliyopita![]()
Inside parking area ambayo maji yanafurika sasa unashangaa nn


Hapa ni ndani ya hio picha unayopost ww parking area za BRT
Manake wao hawana akili zaidi ya wakenya 😂😂😂👇👇👇👇
Na hzi onesha basi au huzipendi 😂😂👇👇👇👇👇 watu walipaka lisptick thika road miaka miwili na nusu iliopita wakijua BRT ni sawa na kula githeri 😀😀😀😀
Hivi umeelewa nilichokuuliza? Nimekuuliza uniambie hiyo technology na modernity ya commuter railway yenu.Kwnza ni upuuzi haswa kuilinganisha DMUs na mikebe..
Mulijua BRT ni sawa na kula githeri 👇👇😅Nairobi commuter Railway Vs BRT
View attachment 1636211View attachment 1636212View attachment 1636219
Heheh wenzenu walikuja kushangaa 😀😀😀😀👇👇👇 mukafkiri BRT ni sawa na kula skumawikiNairobi commuter Railway Vs BRT
View attachment 1636211View attachment 1636212View attachment 1636219
Wanatumia technology gani hawa bro unajisumbua tu bure wao wenyewe wanajua ni vyuma chakavu kwan ww sikuhzi ushawaskia wakizungumzia SGR ya mchina ile ilioshia machakani na vyuma chakavu😀😀Hivi umeelewa nilichokuuliza? Nimekuuliza uniambie hiyo technology na modernity ya commuter railway yenu.
Ushamba unawasumbua hao ndugu zetu wa kenyawhat’s the problem here? People? You guys lack exposure! Umeshawahi kuona morning rush hour kwenye subway? Let me give you an example of New York.
View attachment 1636136
Halafu, Speaking of modernity, what aspects of that railway make you think that it’s modern than Dar’s BRT system. Your trains are second hand and they use diesel! There is NOTHING modern about your railway. It’s full of old crap!
BRT ya Tanzania iko na automated ticketing??



dah, jamaa ni washamba kinomaKatoka ghana kuja kushangaa the modern BRT in africa 👇👇👇👇