komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Soma vizuri nilichokiandika alafu urudi tenaUnajua maana ya purchasing power?!!!...usiwe kama teargas anazungumzia ppp na hajui ni kitu gani
Soma vizuri nilichokiandika alafu urudi tenaUnajua maana ya purchasing power?!!!...usiwe kama teargas anazungumzia ppp na hajui ni kitu gani
Shugulika na deni za kwenu![]()
Hasira za nn we kibwengoHuwezi kuelewa kama nimejibu swali ama la,kutokana na akili yako ya kuendea msalani
Kuna deni la siri dunia hii aliekudanganya nani??? Yani ukopwe alaf uandike financed by gvt inaonekana sheria za mikopo huzijui ww😀😀😀😀😀Lazima deni mlilokopa siri siri lilipwe kw kiaina..toll fee kw pesa za ndani my foot![]()
Bora sisi pesa inazunguka ndani nyinyi pesa pamoja na ajira zinaenda kwa mchina miaka 30😄😄😄😄 kama walivowabaka kwenye SGREti mnachangia serekali
Mnawachangia wenye hilo deni
Dec ndege moja mpya inaingia kaa mkao wa kula 2021 june ndege mbili airbus zinaingia alaf kuna fresh order tano tayariNaona mumeacha kwenda sauzi kisa eti kuna vurugu, naona mpka zari kaamua kutumi kq
Alafu ndio muende sauzi sasaDec ndege moja mpya inaingia kaa mkao wa kula 2021 june ndege mbili airbus zinaingia alaf kuna fresh order tano tayari
Kwhyo ni mkopoBora sisi pesa inazunguka ndani nyinyi pesa pamoja na ajira zinaenda kwa mchina miaka 30kama walivowabaka kwenye SGR
Kitu cha public unatozwa toll fee alafu mradi unaandikwa financed by the govt kweliKuna deni la siri dunia hii aliekudanganya nani??? Yani ukopwe alaf uandike financed by gvt inaonekana sheria za mikopo huzijui ww![]()



kuwa muelewa......Kitu cha public unatozwa toll fee alafu mradi unaandikwa financed by the govt kweli
Yani mradi wa serekali kw public kisha mnalipia
Soon utaskia Kenya GDP is $200bln ili ku-dilute loan! Yaani Kenya sasa ina deni kubwa kuliko Nigeria!But la ajabu debt to GDP ratio tanzania is 32% while kenya is over 80 going to 90%😁😁😁😁😁😁 mpaka munapewa alert ya kuingia redline au hujasoma
View attachment 1635891
Ndio unieleweshe wapi kivipi mlipie toll fee katika hyo barabara wakati ni financed by the govt...kuwa muelewa......
But la ajabu debt to GDP ratio tanzania is 32% while kenya is over 80 going to 90%mpaka munapewa alert ya kuingia redline au hujasoma
View attachment 1635891
Kwani iko nini si ni yetu.Na sisi hulipa deni sio kama wenzetu😂😂Sisi tunataka our Debt to GDP ratio ifike 150% by 2022. Hiyo 80% bado ni kidogo sana.
Venye ako na maumivu unaezadhani ni yeye ndio atalipa loans zote za Kenya pekee yakeKwani iko nini si ni yetu.Na sisi hulipa deni sio kama wenzetu![]()



Atulize mkundu bana.Apambane na shida zao kwanzaVenye ako na maumivu unaezadhani ni yet ndio atalipa loans zote za Kenya pekee yake![]()
Nishamwambia we are aiming for 150% of debt to GDP ratio by 2022.Atulize mkundu bana.Apambane na shida zao kwanza