ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
You wish ๐๐๐
Unajitia kipofu au sio๐๐๐๐๐
You wish ๐๐๐
Unajitia kipofu au sio๐๐๐๐๐
Watanzania hawana purchasing power kuliko wakenya, na hyo ni facts km alivyokwambia teargasJibu swali purchasing power ya tanzania unaijua vzr ???
I know Kenya has,but we don't want show offSs c mngekuwa na millionaires wengi kuliko tz.
Hyo probox inauzwa ksh 900k hku kenya, hzo ni milioni ngapi kibongo bongohizo probox zinazobeba watermelon.
hiyo daraja itakaa empty saa 24


Soja, romodo ndio yanapatikana sioNimeangalia sana kwa makini kwenye kamusi ya kiswahili lakini sijaona neno VENYE. Sijui ulikuwa unaanisha nini hapa.
Jamaa mnakopa kimya kimyaLimrpanda 32% debt to GDP ratio ndio limepanda wakat nyinyi muko over 80%mbona unakua mwehu sikuhizi




Uhehehhehhe hii ni modern aise pima mkojo mzee
View attachment 1635126View attachment 1635127View attachment 1635128
Ulisema lini hvo na ni wapiNani ka change gear nimemwambia kenya haina pesa ya kujenga mradi wowote na kama ni ppp ambayo mchina ataishika kwa miaka 30 akiwakamua hapo sawa
View attachment 1635203





Sisi huku Magari tunamiliki mpaka masikini. Inaelekea kuwa basic need. Ndio maana tunawajali Parking mjini tu jero.. kariakoo mia tatu tu.. kwenu huko ingekuwa KSh. 25Mjini na KSh. 15 kwa Kariakoo ili Masikini Sisi twende tukauze na kununua pia.Kama watanzania ni maskini kla mtu c maskiniumeskia 600ksh ni pesa kidogo sanaa kwa mkenya anayemiliki gari
Tangia mwaka jana november ilikua 80%umekalia kuti kavu barrabarra
phase 1 over 90%
Phase two 50%


Wazee wa first, biggest, moder ukanada huu wanajulikanaHawachelewi kuweka neno lao ya kwanza east and central africa![]()


How long is Kigamboni Bridge?Sisi huku Magari tunamiliki mpaka masikini. Inaelekea kuwa basic need. Ndio maana tunawajali Parking mjini tu jero.. kariakoo mia tatu tu.. kwenu huko ingekuwa KSh. 25Mjini na KSh. 15 kwa Kariakoo ili Masikini Sisi twende tukauze na kununua pia.
Na Toll fee kubwa huku kwetu ni sawa na KSh.90 kwa Kigamboni.. for SUV Family Cars na KSh 70 kwa Vipaso na Vigari vidogo vidogo hata Hiyo Yenye mnapenda sana proboo inakuwa tu hiyo hiyo tu 70.
Ferry like wise haizidi 120 KSh. Most of places.
Mbona basi data zinasema tofauti katika umiliki wa magari, manake kenya ndio inaongoza..Sisi huku Magari tunamiliki mpaka masikini. Inaelekea kuwa basic need. Ndio maana tunawajali Parking mjini tu jero.. kariakoo mia tatu tu.. kwenu huko ingekuwa KSh. 25Mjini na KSh. 15 kwa Kariakoo ili Masikini Sisi twende tukauze na kununua pia.
Na Toll fee kubwa huku kwetu ni sawa na KSh.90 kwa Kigamboni.. for SUV Family Cars na KSh 70 kwa Vipaso na Vigari vidogo vidogo hata Hiyo Yenye mnapenda sana proboo inakuwa tu hiyo hiyo tu 70.
Ferry like wise haizidi 120 KSh. Most of places.
Sisi huku Magari tunamiliki mpaka masikini. Inaelekea kuwa basic need. Ndio maana tunawajali Parking mjini tu jero.. kariakoo mia tatu tu.. kwenu huko ingekuwa KSh. 25Mjini na KSh. 15 kwa Kariakoo ili Masikini Sisi twende tukauze na kununua pia.
Na Toll fee kubwa huku kwetu ni sawa na KSh.90 kwa Kigamboni.. for SUV Family Cars na KSh 70 kwa Vipaso na Vigari vidogo vidogo hata Hiyo Yenye mnapenda sana proboo inakuwa tu hiyo hiyo tu 70.
Ferry like wise haizidi 120 KSh. Most of places.




Kigamboni mnalipa toll fee ya nn km nynyi mnagharamikia miradi kw pesa zenu ili wananchi wafaidi
ni kweli kabisa......waache stand ikamilike wanakimbilia wapi hawa watu!!
Mi pia nahangaa kwnn ukiwekeza kenya una uhakika wa kupiga mpunga sana sana katika miradi ya direct kw mwananchi kuliko tanzaniabado nashindwaga kuelewa,kwa umaskini uliopo kenya hawa wakunya wa humu jf wanatoleapi nguvu za kubishana na sie?
halafu we mwanamke nishakuona unanipenda wakati mi sina mda huoKajiange urudi tena na hzo taarab zako
Compare the twoSisi huku Magari tunamiliki mpaka masikini. Inaelekea kuwa basic need. Ndio maana tunawajali Parking mjini tu jero.. kariakoo mia tatu tu.. kwenu huko ingekuwa KSh. 25Mjini na KSh. 15 kwa Kariakoo ili Masikini Sisi twende tukauze na kununua pia.
Na Toll fee kubwa huku kwetu ni sawa na KSh.90 kwa Kigamboni.. for SUV Family Cars na KSh 70 kwa Vipaso na Vigari vidogo vidogo hata Hiyo Yenye mnapenda sana proboo inakuwa tu hiyo hiyo tu 70.
Ferry like wise haizidi 120 KSh. Most of places.