komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kwhyo bongo hakuna mradi wa ppp eeeSo start construction first tujue munajenga basi
usisahau expressway ni ppp weka kwa akili kuna ushuru wa mchina kwa miaka 30
View attachment 1634698

Kwhyo bongo hakuna mradi wa ppp eeeSo start construction first tujue munajenga basi
usisahau expressway ni ppp weka kwa akili kuna ushuru wa mchina kwa miaka 30
View attachment 1634698

Kajiange urudi tena na hzo taarab zakoasiye elewa maana haambiwi ....
Kwn hzo biashara kuanzishwa mpka kujengwe stendiwanasema hawaoni umuhimu wa kujenga stendi kama hizi.. wakat hapa mtu anaweza akaanza na biashara ya mtaji wa million moja.. baada ya mwaka akawa na mtaji wa million ishirini then akaenda kuongeza biashara nyingine sehem nyingine yake mwenyewe
View attachment 1634624
Naona mziki inachangeSo start construction first tujue munajenga basi
usisahau expressway ni ppp weka kwa akili kuna ushuru wa mchina kwa miaka 30
View attachment 1634698






Hatuna miradi ya kitapeli na kiwiziwizi,sisi hatupendi ujingaKwhyo bongo hakuna mradi wa ppp eee![]()
Barabara za kuingia bado hata terminal yenyewe wakazane iishe ili mambo yaendelee kua burudani
Lini mmejenga commuter rail au unaotaHata expressway na commuter rail zilikuwa proposed saa hii ni reality bado mnabisha



Kumbe imekamilika 90%, wangewapa mwezi wamalizie hizo 10% zilizobakii hope magu akiiona hii atamtuma kunenge kuwaambia amewapa mpk december 20 au 31 iwe imekamilika
Kuna watu wanaenda CRRC, Sijui tutapata na mzigo kutoka huko? Not sure.
View attachment 1634328
View attachment 1634329
Hyo c shida kwani ww ndio utalipia hyo inakuumia wapi ilikuwa proposed saa hii ni reality bado unabishaSo start construction first tujue munajenga basi
usisahau expressway ni ppp weka kwa akili kuna ushuru wa mchina kwa miaka 30😂👇
View attachment 1634698
Hyo ni bus standSikieni huu kunguni 😂😂😂
Na hii munajenga ya nn sasa 👇👇👇 mufuge nguruwe auView attachment 1634700View attachment 1634701View attachment 1634702
Sasa mbona kama mabanda ya kufugia sungura!Hyo ni bus stand
Hii itakuwa ni yale mabehewa 600 aliyoyaongelea Rais Magufuli.Just confirmed hawa wanaenda kufuata mabehewa, Nimeukiza wamesema ya Korea tofauti na haya wanayoyafuata ni mengine.
Mbna hujajibu swaliHatuna miradi ya kitapeli na kiwiziwizi,sisi hatupendi ujinga
Issue sio nyama , issue ni purchasing power ya ksh inaonekana magumashiHahahaa!!yani inakujaje kwanza mwanaume mzima unaanza kuongelea story za bei ya nyama mombasa
We km ilikua niya yako nikuwahadaa wenzako basi imebuma jomba
Sasa umekuja udanganye ili iwejeIssue sio nyama , issue ni purchasing power ya ksh inaonekana magumashi


Lala wewe sahizi muda wa kuliwazana huu, alafu mkiachika oohh wanaume wasumbufu, usije sema sikukuambia.Sasa umekuja udanganye ili iweje
Haya angalia umeumbuka sasa