Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wanasema hawaoni umuhimu wa kujenga stendi kama hizi.. wakat hapa mtu anaweza akaanza na biashara ya mtaji wa million moja.. baada ya mwaka akawa na mtaji wa million ishirini then akaenda kuongeza biashara nyingine sehem nyingine yake mwenyewe
View attachment 1634624
pata picha hii kitu ingekuwa Nairobi! tusingelala humu! Refer mitumba ya Nairobi metrotrain!
 
Hii kitu itakuwa Moto🔥🔥🔥🔥👏👏
20201126_145247.jpg
 
ishakua approved..so it will be constructed

Basi mbona deni la taifa limepanda maradufu awamu hii
Tumia akili buda, kama unatekekeza miradi yenye thamani ya $38B, na umekopa $7B, wakati waliotangulia walitekeleza miradi yenye thamani ya $12B na walikopa $6B, unaweza kuuliza hilo swali lako tena?
 
Hyo probox inauzwa ksh 900k hku kenya, hzo ni milioni ngapi kibongo bongo



Yesuuhiyo ni milioni 20 tu buda.

nani huwa anawatia ujinga!!!!!hizo huku kwetu hata hakuna mtu anaweza mention,haikai luxury wala hairuhusiwi kubeba watu kwa baishara,ndio sababu sio nyingi.

popular family car huku ni noah,alphard,hundai H1 hii ni kwa wenye hali nzuri zaidi.

gari za wabishi huku ni LC hardtop.
 
Yesuuhiyo ni milioni 20 tu buda.

nani huwa anawatia ujinga!!!!!hizo huku kwetu hata hakuna mtu anaweza mention,haikai luxury wala hairuhusiwi kubeba watu kwa baishara,ndio sababu sio nyingi.

popular family car huku ni noah,alphard,hundai H1 hii ni kwa wenye hali nzuri zaidi.

gari za wabishi huku ni LC hardtop.
Naona luxury kw upande mwngine
images.jpeg-37.jpg
 
Sasa na wewe Mjanja kabisa si unataka Tawakal unashuka DSM na 11.5mil max 13 mil tunakupatia moja.. unaenda kuvimba!? 🙂

That will hardly KSh. 600k mpaka na mafuta ya kurudia kabisa 😀 !?
Emu jaribu kuweka maandishi yako vizuri, sasa hapa umeandika nn
 
Back
Top Bottom