Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nairobi-commuter-rail-bus-e1605017543528.jpeg.jpg
uhuru-commuter-rail-1-scaled-e1605017411433.jpeg.jpg
 
Kw mimi siwezi nunua kw sababu sina kazi nayo lkn kw wale ambao wana biashara nazo na kumbe zinawafaidi mbona wasinunue
We hutaki kuwa mjasiriamali!? Uwekeze!? Kwenye Taifa hilo la Uchumi wa kati karibia karibia na juu!?
 
Tatizo kila kitu mnaona ligi, haya endelea na yako
Tatizo lako na wewe unapenda ligi.. mimi mashindano sijui.. Mie naburudika tu humu maana hii haziongezi kipato wala kuboresha afya.. 🙂

Sasa wewe uko argument mode always... Hahahaha.

We njoo tule chips... Tuu.. mie kwenye ubishi mvivu ndugu yangu.
 
From a Ghanaian, Infrastructurewise, Nairobi is on another level



Tanzanians, watch this video and learn how to keep a city green
 
Kigamboni mnalipa toll fee ya nn km nynyi mnagharamikia miradi kw pesa zenu ili wananchi wafaidi
Tunalipa 2000tsh for a car sawa na 180ksh wakat mchina kawaekea kabisa ushuru wa 600ksh safarii hii mutakunya 😅😅😅😅 kwa miaka 30
 
Back
Top Bottom