mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
let's wait and see![]()
600 sio poa wewe.
let's wait and see![]()
Tanzania inazidi Kenya kwa kupokea grants and donations.wakenya ni vitu gani mnakubali kuwa Tanzania tumewapita au tunafanya vizuri zaidi yenu? mim kwenu mfano moja naona banks zenu zinajitahidi sana kuliko zetu
leo tujadili hili swala.. kama una mawazo tofauti leta hoja![]()
Basi mbona deni la taifa limepanda maradufu awamu hiiHakuna mpaka sasa hvi miradi yote inafadhiliwa na serekali unajua sababu kubwa ile wananchi wasije hangaika na kulipa ushuru kwa mwekezaji![]()
Naona mziki inachange
1.Ulianza kwa kusema kuwa expressway haitawaijengwa.
2.Ukaenda kwa kuitisha construction board
3.Sasa saa hii unasema kuwa haingekuwa juu ya ppp haingejengwa.
Kwani mwanzoni venye ulikuwa unasema haitawaijengwa hukujua ni PPP?![]()



Cc Teargas jamaa ka change gear tenaKama kwa ppp sawa ila serekali itoe 600m usd inatoa wapi kwa mfani ikiwa pesa ya kulipa salaries hakuna just imagine
Kama kwa hiii ppp kua mchina ataichukua kwa miaka 30 huku mukikamuliwa hapo sawa uzuri wa mchina habahatishi
View attachment 1634919


Cc Teargas jamaa ka change gear tena
Umeona alichokiandika hata anasikitisha
Nimeangalia sana kwa makini kwenye kamusi ya kiswahili lakini sijaona neno VENYE. Sijui ulikuwa unaanisha nini hapa.Venye Tanzania iko na maskini wengi kuliko Kenya?
Imeandikwa wapi kuwa kitu nimeandika hapa lazima ikuwe kwenye kamusi?Nimeangalia sana kwa makini kwenye kamusi ya kiswahili lakini sijaona neno VENYE. Sijui ulikuwa unaanisha nini hapa.
Wakat mumeomba kusamehewa 😀😀😀You wish Kenya ingeomba kusamehewa 😂😂😂😂😂
Uehhehehhehehe 100ksh ya kula hamuna itakua 600ksh 😀😀😀😀Kama watanzania ni maskini kla mtu c maskini 😂😂😂😂umeskia 600ksh ni pesa kidogo sanaa kwa mkenya anayemiliki gari
Limrpanda 32% debt to GDP ratio ndio limepanda wakat nyinyi muko over 80% 😀😀😀😀 mbona unakua mwehu sikuhiziBasi mbona deni la taifa limepanda maradufu awamu hii
Hao wamezoea kupata vitu za bure achana naye
Nani ka change gear nimemwambia kenya haina pesa ya kujenga mradi wowote na kama ni ppp ambayo mchina ataishika kwa miaka 30 akiwakamua hapo sawa😅😅Cc Teargas jamaa ka change gear tena
Umeona alichokiandika hata anasikitisha
Acha nyege wewetulia basi mbona una mapepe siku hio nitakutafuta bro
hata mwanzo ulisema hvo hvo leo ina over 90%
Unajitia kipofu au sio😀😀😀😀😀You wish Kenya ingeomba kusamehewa 😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅 umekalia kuti kavu barrabarraAcha nyege wewe
Nani amesema itakuwa 600600 sio poa wewe.
You wish 😂😂😂Wakat mumeomba kusamehewa 😀😀😀
😂😂😂😂Uehhehehhehehe 100ksh ya kula hamuna itakua 600ksh 😀😀😀😀
Umekasirika sasa 😅😅😅😅You wish 😂😂😂