Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wakenya ni vitu gani mnakubali kuwa Tanzania tumewapita au tunafanya vizuri zaidi yenu? mim kwenu mfano moja naona banks zenu zinajitahidi sana kuliko zetu

leo tujadili hili swala.. kama una mawazo tofauti leta hoja
Tanzania inazidi Kenya kwa kupokea grants and donations.

IMG_20201126_132258.jpg
 
Naona mziki inachange
1.Ulianza kwa kusema kuwa expressway haitawaijengwa.
2.Ukaenda kwa kuitisha construction board
3.Sasa saa hii unasema kuwa haingekuwa juu ya ppp haingejengwa.

Kwani mwanzoni venye ulikuwa unasema haitawaijengwa hukujua ni PPP?
Kama kwa ppp sawa ila serekali itoe 600m usd inatoa wapi kwa mfani ikiwa pesa ya kulipa salaries hakuna just imagine

Kama kwa hiii ppp kua mchina ataichukua kwa miaka 30 huku mukikamuliwa hapo sawa uzuri wa mchina habahatishi


View attachment 1634919
Cc Teargas jamaa ka change gear tena
Umeona alichokiandika hata anasikitisha
 
Nimeangalia sana kwa makini kwenye kamusi ya kiswahili lakini sijaona neno VENYE. Sijui ulikuwa unaanisha nini hapa.
Imeandikwa wapi kuwa kitu nimeandika hapa lazima ikuwe kwenye kamusi?
 
Back
Top Bottom