Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wanasema hawaoni umuhimu wa kujenga stendi kama hizi.. wakat hapa mtu anaweza akaanza na biashara ya mtaji wa million moja.. baada ya mwaka akawa na mtaji wa million ishirini then akaenda kuongeza biashara nyingine sehem nyingine yake mwenyewe
IMG_1606319305.068738.jpg
 
Jana kuna mama mmoja toka mombasa alikua anasema 1kg ya nyama kenya ni 500 . Nilikua nashang'aa mbona hela ya kenya kwenye purchasing power haina kitu kushinda ya Tanzania? 500 ya kenya bongo unapata nyama 1kg na mchele 1kg na chenji inabaki
Wabongo kwa longo longo tu
Hta naivas mombasa nyama haiuzwi ki hvo..
 
Sikusema mimi alisema mama tena kavaa majuba labda kaongopa yeye. Pia ukibisha jambo weka ukweli wake. Sio kupisha bila fact
Hahahaa!!yani inakujaje kwanza mwanaume mzima unaanza kuongelea story za bei ya nyama mombasa

We km ilikua niya yako nikuwahadaa wenzako basi imebuma jomba
 
Kwa watz wenzangu mnaokumbuka mwaka juzi 2018 tulitukanwa hapa na hawa majirani kwamba tunawezaje compete nao wakati hatuna walau Flyover?Hatuna walau highway hata moja na ka interchange hivi....Sasa Hv wamehamisha Goli kwenye idadi ya masikini Kua nani anamzigo mkubwa ....Ni suala la muda tu Tuanze kutumia treni ya umeme alafu watuambie wao itakua lini
 
Kwa watz wenzangu mnaokumbuka mwaka juzi 2018 tulitukanwa hapa na hawa majirani kwamba tunawezaje compete nao wakati hatuna walau Flyover?Hatuna walau highway hata moja na ka interchange hivi....Sasa Hv wamehamisha Goli kwenye idadi ya masikini Kua nani anamzigo mkubwa ....Ni suala la muda tu Tuanze kutumia treni ya umeme alafu watuambie wao itakua lini
Kwhyo bongo interchange zimejaa kinyama sio..asante kw kumuwakilisha jiwe
 
Kwa watz wenzangu mnaokumbuka mwaka juzi 2018 tulitukanwa hapa na hawa majirani kwamba tunawezaje compete nao wakati hatuna walau Flyover?Hatuna walau highway hata moja na ka interchange hivi....Sasa Hv wamehamisha Goli kwenye idadi ya masikini Kua nani anamzigo mkubwa ....Ni suala la muda tu Tuanze kutumia treni ya umeme alafu watuambie wao itakua lini
Treni ya umeme wataisikia miaka 50 inayo 😂😂😂😂 siku hzi hawana raha humu ndani
 
Treni ya umeme wataisikia miaka 50 inayo siku hzi hawana raha humu ndani
Treni za umeme zioi hzo
Mtanzania gani ambae huyo ashawai panda treni ya umeme hko bongo..

Yani sgr bado mtaiskia tu mpka ile siku mtalipa hela za wenyewe
 
Back
Top Bottom