ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kwani unafkiri bagamoyo port iliku ni nn??😀😀😀 sababu za magu kuikataa siunazijuaHakuna investor anaweza kuinvest katika PPP huko Tanzania maana wananchi wao wana purchasing power kidogo.
Nikupe miradi michache tu:-Let me repeat it loud for you again, Twiga is not infrastructural project.
Hebu rudia neno lako kua tanzania purchasing power ni ndogo???😅😅😅😅Hakuna investor anaweza kuinvest katika PPP huko Tanzania maana wananchi wao wana purchasing power kidogo.
This one is cool, modern bus stand,si cow shed ile ya kibaha
Ukija Kenya na hizo pesa zenu dyo utajua pesa hio ni karatasi tu,🤣🤣Hebu rudia neno lako kua tanzania purchasing power ni ndogo???😅😅😅😅
Uhehehhehhe hii ni modern aise pima mkojo mzee😀😀😀😀This one is cool, modern bus stand,si cow shed ile ya kibaha
Jibu swali purchasing power ya tanzania unaijua vzr ???Ukija Kenya na hizo pesa zenu dyo utajua pesa hio ni karatasi tu,🤣🤣
Ss c mngekuwa na millionaires wengi kuliko tz.Ukija Kenya na hizo pesa zenu dyo utajua pesa hio ni karatasi tu,![]()
So to open a mining center don't need infrastructure? Au unafikiri mining is like fishing in a Lake?Let me repeat it loud for you again, Twiga is not infrastructural project.
Hamujashindwa na munaomba kusamehewa we vp mzee😀😀😀😀😀Narudia na tena ntaendelea kurudia, hatujawaishindwa kulipa deni kama Tanzania. Na pia hatajawaisamehewa deni venye Tanzania walisamehewa
That is how bus stands look likeSasa mbona kama mabanda ya kufugia sungura!
Kama watanzania ni maskini kla mtu c maskini 😂😂😂😂umeskia 600ksh ni pesa kidogo sanaa kwa mkenya anayemiliki gariHela ya kulipa iko wapi mzee 600ksh per car iko wapi kwa uchumi gani mliokua nao leo 😂😂😂😂😂 yatarudi yale yale ya SGR
You wish Kenya ingeomba kusamehewa 😂😂😂😂😂Hamujashindwa na munaomba kusamehewa we vp mzee😀😀😀😀
Hata ikiwa 600 mkenya anayemiliki gari haiwezi mshindaNaona ujinga yako inakudanganya charges itakuwa 600bob. Hii ndio maana nasema unaumwa na hiyo project, charges za expressway itaanzia 150 bob up to 300 depending on the weight of your vehicle.
Narudia tena, siku Kenya itashindwa kulipa deni uniite. Sawa?Hamujashindwa na munaomba kusamehewa we vp mzee![]()
Venye Tanzania iko na maskini wengi kuliko Kenya?Ss c mngekuwa na millionaires wengi kuliko tz.
Hata ikiwa 600 mkenya anayemiliki gari haiwezi mshinda


.let's wait and see 😂😂😂hizo probox zinazobeba watermelon.
hiyo daraja itakaa empty saa 24