The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Hatari sn Kaka yn tz linapokuja suala la projects watuache kabisa, yn wkt naangalia ile render ckutegemea km itatoka vile vile aisee.Hii kitu kama wameiprint kutoka kwenye ile render
Hatari sn Kaka yn tz linapokuja suala la projects watuache kabisa, yn wkt naangalia ile render ckutegemea km itatoka vile vile aisee.Hii kitu kama wameiprint kutoka kwenye ile render
Ni kama sasa tuseme bagamoyo na kibaha ni Dar MetropolisWatakuwa na matatizo maake sio kwa kulazimisha huko ni sawa na tz tuseme mkoa wa pwani ni dar
Wako speedMaendelo ya ujenzi wa daraja la Muda - Kigongo Busisi.
View attachment 1629773
View attachment 1629774
Unadhani mpaka nimeweza kuku-quote hapa nimeshindwa kwenda huko Wikipedia na kujisomea? Mimi nataka unipe uelewa wako wewe vile bandari ina operate. Hususani hiyo trans-shipment port. Ambayo umesema meli kubwa zitashusha tu na kuondoka bila kupakia.Soma hapa na uisome yote ndio uje tudebate. Usikuje hapa kama hujaisoma
![]()
Transshipment - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
uache ufala mzee hiyo bandari yenu ya lamu ni tembo mweupe haitakuja kufanya inachotarajia! imagine bandari za Tanga na Mtwara zimeanza kupanuliwa miaka miwili iliyopita hivi unavyobishana Mtwara port inazinduliwa December! na itakuwa na uwezo wa hicho mnachotarajia lamu! na tayari Malawi wako tayari kusaini mkataba wa matumizi wa Bandari ya Mtwara!Soma hapa na uisome yote ndio uje tudebate. Usikuje hapa kama hujaisoma
![]()
Transshipment - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Uelewa wako ni mdogo sana,ndo maana hadi leo korona inawa-*** both sidesSo Tanzania imeweza kupambana na corona kushinda nchi zote duniani!! Hadi zile zenye advanced healthcare systems. Hii Tanzania ambayo corona ilipatikana hadi kwenye mbuzi na papai?? 😂 😂 😂 😂
Kwani watu wameanza kufa mwaka jana??!!..nyie wakenya mna akili gani?..watu wanakufa tangu enzi za yesu na mtume,magufuli ametumia miaka 20 maabara,ni mwanasayansi mbombevu,unataka tuache kumsikiliza yeye tumsikilize mlevi kenyatta,au tumsikilize yule mhuni trump,katika masuala ya korona hakuna raisi hapa east anayeweza kukaa na magufuli na ndo maana alikuwa anawakataa kipindi kile alikuwa anawaona wajinga tu,magu ana akili sana najua huwezi kukubali hapa ila moyoni mwako unaelewaKwhyo mliooacha kupima tanzania watu hawafi tena siku hizi
Kwa hiyo mnatutisha na screpa???!??...DMUs zimeanza kutumika na Wakenya
View attachment 1628105View attachment 1628106View attachment 1628107View attachment 1628108
Uwache maswali za kijinga wewe Mbongo. Meli inayobeba magari kutoka bara la Asia na kuyashusha Lamu port itapakia magari gani kutoka Tanzania? Nyie mnaunda magari? Nyie mnaexport magari? Umeniambia nikupe mfano, nimekupa mfano.Unadhani mpaka nimeweza kuku-quote hapa nimeshindwa kwenda huko Wikipedia na kujisomea? Mimi nataka unipe uelewa wako wewe vile bandari ina operate. Hususani hiyo trans-shipment port. Ambayo umesema meli kubwa zitashusha tu na kuondoka bila kupakia.
Nitajie mfano wa bandari za aina hiyo, na meli za mizigo zinazoshusha tu na kuondoka bila kupakia. Halafu unaifahamu maersk vizuri? Haswa wana deal na biashara gani?
Wivu.Kwa hiyo mnatutisha na screpa???!??...
Wakenya tunapowaambia hii stand ni zaidi ya airport yenu muwe mnaelewa, alafu angalia kuanzia min 8.5 inaongelewa underground parking yn ni kubwa na ya kisasa hakuna ukanda huuMaendelo ya ujenzi wa daraja la Muda - Kigongo Busisi.
View attachment 1629773
View attachment 1629774










Hizo takataka zote ulizotaja hakuna hata moja inayoweza kukaribia ubungo#factmy friend ata heri unyamaze...tuko na nairobi expressway,tuko na western bypass,,kuna southern bybass to icd,kuna dualling of nai to makutano,brt kule thika road inajengwa,,mombasa ndio balaa,,,tafuta jomvu to msa road project,flyover kama zote kuna dongo kundu just but to name a few...kasi ya kenya huwezani nayo nanii
Jina tu hilo cjajua ni nani ila ntafatilia.Louis Mbezi alikuwa nani?
Alafu watu wengi wanadhan hii stendi ni majengo ya juu tu, mzigo kamili upo chini huko kuna vyumba 500Wakenya tunapowaambia hii stand ni zaidi ya airport yenu muwe mnaelewa, alafu angalia kuanzia min 8.5 inaongelewa underground parking yn ni kubwa na ya kisasa hakuna ukanda huu
Pia msisahau kutazama comments za watanzania kwenye hii video ili mjue kwnn jpm alishinda kwa kishindo 84%, onaa hapa underground parking na toiletsView attachment 1629828View attachment 1629829View attachment 1629830
Kaka wacha kabisa mm mwenyewe ckuwa najua km kuna floor tatu kwenda chini aisee duuhh hii ss sifa alooAlafu watu wengi wanadhan hii stendi ni majengo ya juu tu, mzigo kamili upo chini huko kuna vyumba 500




Hii expressway ya chung lee ni ya magumashi sana hiyo miaka ya 30 ikiisha na expressway dhoofu kwa hali
"chung lee" ni Mkorea baba!Hii expressway ya chung lee ni ya magumashi sana hiyo miaka ya 30 ikiisha na expressway dhoofu kwa hali
Uwache maswali za kijinga wewe Mbongo. Meli inayobeba magari kutoka bara la Asia na kuyashusha Lamu port itapakia magari gani kutoka Tanzania? Nyie mnaunda magari? Nyie mnaexport magari? Umeniambia nikupe mfano, nimekupa mfano.
Wewe wazimu hujui Mombasa port ambayo hata haikuundwa kwa nia ya kufanya trans-shipment tayari inafanya trans-shipment kuelekea Dar port?Uko desperate i wish huyo tembo mweupe wenu aanze kazi leo halafu tuone kama kuna mzigo wa Tanzania au Djibouti utatua hapo! kumbuka Djibouti nao ni moto!