Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Thika, 45km from Nairobi CBD. The whole stretch from Nairobi is built up. Check on Google maps if you doubt. Naton Jr

65820814_2395582594099123_1278697023414992896_n.jpg
ADD9767-1024x678.jpg
maxresdefault.jpg
sddefault.jpg
 
2022 sio baada ya Uhuru?
Lamu port berth mbili zilizobaki zipo 80% complete. Moja ishakamilika. Hizo mbili zitakamilika mwaka ujao. Lakini hatujui crane zitachukua muda upi kufika Kenya. Sina uhakika kama order ya cranes imeshatokewa.
 
Cargo volume kati ya Dar port na Lamu port iko vipi? Kwamba hiyo post panamax baada ya ku berth hapo Lamu inaweza kupata cargo ya kutosha ya kuondokea? Hizo meli ndogo zitakazokuja Dar ndio zipakie mizigo kutoka Dar kuileta Lamu then wa offload kisha wapakie kwenye hiyo Panamax tena?

Unajua kazi za operations and management, haswa kwenye logistics na shipping in general? Ukiwa business manager wa maersk ndio utawashauri hivyo?
Wewe huelewi. Post-panamax ni meli kubwa na inaweza kubeba kutoka China mizigo inayokwenda Afrika na Europa kwa safari moja. Kisha inatia nanga Lamu na kupakua mizigo ya (Dar port, Mombasa port na Djibouti port) kisha inaelekea bara la Europa. Halingojei meli ndogo ifike Dar na kurudi na mizigo kama ulivyosema. Hakuna mahali nimesema kuwa meli ndogo itapekeka mizigo Dar kisha irudi na mizigo Lamu. Post-panamax haina muda wa kungoja meli ndogo iende Dar na kurudi na mizigo. Post-panamax haichelewi hapo Lamu port, inamwaga mizigo na kuondoka.
 
Wewe huelewi. Post-panamax ni meli kubwa na inaweza kubeba kutoka China mizigo inayokwenda Afrika na Europa kwa safari moja. Kisha inatia nanga Lamu na kupakua mizigo ya (Dar port, Mombasa port na Djibouti port) kisha inaelekea bara la Europa. Halingojei meli ndogo ifike Dar na kurudi na mizigo kama ulivyosema. Hakuna mahali nimesema kuwa meli ndogo itapekeka mizigo kutoka Dar hadi Lamu.

nimeandika nimefuta! ngoja aliekuelewa aje 🤦🏽‍♂️[emoji38]
 
Hivi wakenya wameona hii settlement ilivyo ya kisure na ni zaidi ya kilometres 30 kutoka CBD?

Nairobi, 30 kilometers from CBD upo Turkana, Tukiwaambia Dar ni jiji kubwa watuelewe

Halafu huwa wanasema Dar Hakuna miti kama Nairobi, Em wazoom kidogo hapo wajionee walivyo mediocre

View attachment 1628933
Hili dude likiisha ufunguliwe uzi humu "Mbezi bus stand vs Nairobi terminus" tuone ipi kali hahahahahaaa.
 
Here is what 30km from Nairobi looks like son.

Greenpark

View attachment 1628960

Greatwall Gardens

View attachment 1628963View attachment 1628964



Kitengela
View attachment 1628965

Kiserian
View attachment 1628966


Niendelee? Usidhani Nairobi ni Dar. That metropolis is huge and developed. And remember Nairobi spreads to all Directions from the city center while Dar can't spread towards the ocean.
Thika, 45km from Nairobi CBD. The whole stretch from Nairobi is built up. Check on Google maps if you doubt. Naton Jr

View attachment 1628971View attachment 1628973View attachment 1628974View attachment 1628975
LOL for your little information, incase you forgot 😂

👇👇👇

The calculated flying distance from Nairobi to Thika is equal to 25 miles which is equal to 40 km. If you want to go by car, the driving distance between Nairobi and Thika is 44.49 km. If you ride your car with an average speed of 112 kilometers/hour (70 miles/h), travel time will be 00 hours 23 minutes.
 
Ona hizi mbuzi zinalazimisha kiambu iwe Nairobi [emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 1629048

Yaani Nairobi bila usaidizi wa kenya nzima, inapigwa na Dar saa 11 alfajiri [emoji28][emoji28][emoji28]
Haya machokoraa huwa ni majinga sn, mwenzao hata akiongopa hayamrekebishi mafala sn haya mazembe [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom