Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,140
- 17,880
So Tanzania imeweza kupambana na corona kushinda nchi zote duniani!! Hadi zile zenye advanced healthcare systems. Hii Tanzania ambayo corona ilipatikana hadi kwenye mbuzi na papai?? 😂 😂 😂 😂Kwaiyo sikuizi ugonjwa wa corona umekuwa ukimwi sio? Mbona mlijifanya kuiga kufungua shule kimewakuta nini mpaka mkafunga tena ? Ndio ujue Tz is a blessed nation