Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

3CDC4267-2E09-42B6-8D5B-91C5B78E184F.jpeg
2EB8E667-82B4-4FF1-8B61-4E7879848BC3.jpeg
3E1E4D98-7BA8-4EEA-B6A1-337582C84635.jpeg
 
Awasaidie pia kurudi maabar kutafuta mbinu za kuukwepa na kuutokemeza ukimwi tanzania...

Sayansi ajulie wapi yule labda tusubirie chanjo ya kumaliza upinzani duniani kupitia kwake zee la kupima mapapai

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Tatizo huyaelewi haya magonjwa laiti kama kipindi kile magu ndo angekuwa raisi ukimwi usingeingia bongo,ona anavyoushughulikia beberu kisayansi,na wapinzani wanajiua wenyewe wala usimsingizie pombe
 
Yale aliyokuwa anasema Geza Ulole yameshaanza kutimia.economic sanction imeshaanza kutoka EU.kuna watu walikuwa wanambeza sana.ila matokeo ya hii economic sanction tutaumia sisi wananchi na sio viongozi.itakuja kuwa kama ya Zimbabwe mtu unaenda na furushi la pesa sokoni
FB_IMG_16057948840986124.jpg
 
Yale aliyokuwa anasema Geza Ulole yameshaanza kutimia.economic sanction imeshaanza kutoka EU.kuna watu walikuwa wanambeza sana.ila matokeo ya hii economic sanction tutaumia sisi wananchi na sio viongozi.itakuja kuwa kama ya Zimbabwe mtu unaenda na furushi la pesa sokoniView attachment 1630024
Kwa hiyo hiyo picha ndo sanction?
 
Kwa hiyo hiyo picha ndo sanction?
Tunatishana tishana tu hapa walete hzo sanction bhn, mbn hawapeleki sanction America na madudu yametokea dunia nzima imeona? Mbn America hakuna democracy na dunia nzima inajua na hawapeleki sanction, Africa tukiendelea kuwasujudia Hawa wasenge tutaendelea kudumaa kila siku, mbn wameweka sanction zao kule Zimbabwe na maisha yanaendelea tu? Waweke hzo sanction zao wasenge hawa wanataka kutupangia maisha wkt this is a sovereign country.
 
Tunatishana tishana tu hapa walete hzo sanction bhn, mbn hawapeleki sanction America na madudu yametokea dunia nzima imeona? Mbn America hakuna democracy na dunia nzima inajua na hawapeleki sanction, Africa tukiendelea kuwasujudia Hawa wasenge tutaendelea kudumaa kila siku, mbn wameweka sanction zao kule Zimbabwe na maisha yanaendelea tu? Waweke hzo sanction zao wasenge hawa wanataka kutupangia maisha wkt this is a sovereign country.
JPM ashasema hiki ndo kipindi cha kufanya mambo yetu bila uoga
 
Back
Top Bottom