Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pima mkojo kwanza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡


Unataka nikuletee budget statements za GOK kuanzia 2014? Tuone kama Lamu port haimo ndani ya budget ya kila mwaka? Mimi naongea kuhusu budget ya GOK mimi siongei kuhusu article ya gazeti ya 2014. Hapa hutashinda.
Geza Ulole huyu Mbongo mwenzako huwa anaudhi sana lakini niko radhi kumpa shule
 
DMUs zimeanza kutumika na Wakenya
IMG_20201116_105936.jpg
IMG_20201116_105933.jpg
IMG_20201116_105957.jpg
IMG_20201116_110002.jpg
 
Kwa hivyo a third of 44 ni 25! ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Hivi, Tanzania shule mnaenda kusoma au kuwakilisha?
Angalia imeandikwa kabisa mpo mafukara zaidi ya million 25 na tunajua mpo million 44

Na kipindi hiki kwa namna Corona inavyowatafuna lazima muwe million 35 so practically 90% of Kenyans are last grade paupers, scavengers, bones eaters
Screenshot_20200813-071858~2.png
 
Angalia imeandikwa kabisa mpo mafukara zaidi ya million 25 na tunajua mpo million 44

Na kipindi hiki kwa namna Corona inavyowatafuna lazima muwe million 35 so practically 90% of Kenyans are last grade paupers, scavengers, bones eaters
View attachment 1628109
Kama hivyo ndivyo mnavyofundishwa shuleni kwamba 25 is a third of 44 mbona nisumbuane nawe? Stupidity runs deep inside you people and your poor education system hasn't helped alleviate this. Adios!
 
So wajerumani a.k.a mabwana zenu Leo wamegeuka waongo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
DW is a news channel. It doesn't compile data from government sources in each and every country in the world regarding covid-19 or any other thing for that matter. Even if the government of Kenya says today that corona has ended in Kenya mysteriously just like it did in Tanzania, they would still report that there's no corona in Kenya. It is a news channel and news is its business
 
Of course everything doesn't need science. No wonder you ended up finding traces of COVID-19 virus in goat and pawpaw samples
Matter of fact am not the one who put on masks [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], So that must tell you something, our way of solve this disease is 100% working, it does'nt matter whether you like it or not....WE ARE THE CHOOSEN ONE.
 
No wonder we never understand or recognize you as middle income country since 2014 , poor you....Hamna tofauti na Somalia, maskini wa Tz hawezi kufa kwa njaa, can your country say the same?
Must you (Tanzania) recognize us (Kenya) for us to be middle income country? Which law is that? ๐Ÿ˜‚
 
Exactly my point. They can't see how much they are being lied to. Lakini kwa jinsi walivyo wajinga wanasherekea
LOL how much we're being what? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Look at these people with their age but they are breaking covid-19 protocols because they know exactly how covid-19 freezone Tanzania has been for all this time

Do you think government can lie them? Do they depend on our government's assurance?

 
Satellite image of Konza city. Naona bado hii city ni 0.5% complete kama Wabongo walivyosema jana.



2520900_50348911656_009759d4c9_o.png
 
Back
Top Bottom