The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Asante sn, kwahyo hii cactus unachanganya na nn, unaiponda ponda au unatumia mzizi wake?View attachment 1616250
Aliyoiongelea boss mulisaaa hapo awali ni aina ya mkonge (Cactus) ila dawa hiz pia unaweza kupata kutoka kwenye aina fulani ya uyoga.
kama utakamua maji yake, kumpa jamaa yenu hakikisheni hajanywa pombe wala dawa zozote, kwa angalau siku tatu. Kwasababu maji hayo yanaweza kuchanganyika na dawa/pombe na kutengeneza sumu. Pia angalieni hali yake kiafya kama anaugonjwa wa moyo, kisukari, figo na ini msimpe mpaka mumuone daktari.

