TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
Sanctions hamtapigwa lkni.........Takataka zinazoabudu na kulamba miguu wazungu.
Sanctions hamtapigwa lkni.........Takataka zinazoabudu na kulamba miguu wazungu.
Acha wenge ww....tuliza kendeTanzania wanainterchange moja pekee halafu wanataka kubishana na Kenya wabwege sana
Rudi ukasome historia ya Tz ndio uje kupiga kelele apaMATAGA YATAENDA KUITUMBUKIZA HII NCHI KWENYE UMASIKINI WA KUTUPWA.
Hebu tuambie ni bidhaa gani hasa tunaitaji kwenu i mean necessity goods?Uhuru hana option. Tanzania is one of our largest trading partners. Hata mkifanya upuzi upi bado atampongeza tu mshindi kwa sababu anajaribu kulinda maslahi ya Kenya. Nyie lazima muendelee kununua bidhaa zetu kwa hivyo lazima Uhuru afumbe macho ila wazungu hawana unafiki huo. Ngojeeni kiboko cha mabeberu. Itashuka hivi karibuni kwenye migongo zenu.
Leta ingine nairobi pekee inaa interchanges nyingi kuliko east Africa yoteAcha wenge ww....tuliza kendeView attachment 1617070View attachment 1617071
Balozi wa USA (TZ ) yuko obsessed na Tanzania yetu huku USA yake ikiwaka moto,
Low IQ !
tatizo wengi wao humu hawana upeo wa mambo yanavyoenda wamepumbazwa na propaganda za Magufuli wanafikiri Tanzania ipo immune na vikwazo!Mtapigwa sanctions kama Sudan ndio mfyate midomo zenu kubwa. Mtashindwa hata kuomba loan ya miradi yenu. Wakati bei ya mkate na unga utaanza kupanda kama ulivyofanyika Sudan ndio mtajua athari ya sanctions. Kwa sasa mjipige kifua tu. Ulizeni Zimbabwe sanctions zina athari gani.
this is what i meant
endelea kuota ukiamka kamsimulie mzee wa MIGA 😂😂😂tatizo wengi wao humu hawana upeo wa mambo yanavyoenda wamepumbazwa na propaganda za Magufuli wanafikiri Tanzania ipo immune na vikwazo!
Hamtapigwa sanctions saa hii lkni magufuli akiendelea hivi sanctions zko njianiSasa unafananisha Sudani na Tanzania au Zimbabwe na Tanzania yetu? Sudani Muzungu alikuwa na ishu na Al Bashir aliyeongoza Sudani zaidi ya miaka 20, Sudani ina mafuta mengi ambapo amefukuza Muzungu companies kampa China, Sudani alikuwa haitambui Isreali, na mambo mengine mengi. Zimbabwe pia Muzungu alikuwa na ishu na Mugabe ambaye alifukuza white settlers, akanyang'anya diamond minings ambapo Zimbabwe wana moja kati ya deposits kubwa ya almasi Duniani kumpa China, Mugabe aliongoza Zimbabwe tangia 1980.
Sasa utawezaje kufananisha na Tanzania yetu? Muzungu ana shida gani na Tanzania yetu hadi aipige sanctions? Kama ni Magufuli wana shida naye anamaliza muda wake Kikatiba 2025 anaondoka hakuna haja ya sanctions, kama ni CCM well CCM siyo mtu hivyo watakuwa ni watu ajabu kuwa na ishu na CCM, isitoshe Tanzania yetu haina uhusiano mbaya na Mataifa mengine hata ya Muzungu na ndio maana unaona hata ni lazima chadema watafute kwanza Lawyer halafu eti huyo loya ndiyo aandike barua kwa muzungu kushitaki, wewe uliona wapi? Kwa nini watafute loya? Muzungu ana muwakilishi wake hapa Tanzania kuanzia UN, EU, USA, &Co. sasa kuna haja gani ya kutafuta loya na kumlipa mamilioni ya dola, kwani Muzungu haoni kinachoendelea?
Google hyo ni rahisi kupataHebu tuambie ni bidhaa gani hasa tunaitaji kwenu i mean necessity goods?
USA Iko na developed na independent institutions Tanzania hamna hivyo
endelea kuota ukiamka kamsimulie mzee wa MIGA 😂😂😂
😂😂😂si yule alokua anatutishia tutashtakiwa miga na wazee wa makinikia 😂😂😂mzee wa MIGA ndo nani?
Jpm hajajenga BRT kaikutia njiani, hata hyo interchange yeye kaikutia njiani, hata airport kaikutia njiani so inakupasa utuulize cc WaTz why tunampenda!!Nashangaa sana jpm amejenga interchange moja na brt anaabudiwa Kama mungu uhuru Kenyatta amefanya mengi lkni bado anatukanwa kupindukia there is something wrong in Tanzania
Kumbe ndio maana airport ya Dodoma ikapanuliwa runway chap pamoja na barabara zinazozunguka Jamhuri stadium kutandikwa lami chapchap!
Blue band, na cku hz czion sn kivilee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hebu tuambie ni bidhaa gani hasa tunaitaji kwenu i mean necessity goods?
Siulisem iko moja...umechange gia angani...nyie ndio mnaita mpka flyover interchange[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niweke hapa interchanges zote za kenya plz note sio flyovers....Leta ingine nairobi pekee inaa interchanges nyingi kuliko east Africa yote