Pitia comments za post ya Chadema kwenye ile post lissu anasema Watanzania muandamane![]()
walijua watapata supports, kumbe kibao kimegeuka!
ujue Lissu alikuwa yuko kweny position nzuri sana ya kumchallenge Magu kuliko alivyofanya Lowasa 2015, lkn kajiharibia anapotukana tukana, uongo uongo na anapotegemea watu wa nje kuingilia mambo ya ndani.. watanzania tunaona na tunaelewa, asidhan hatujitambui!
