Mkuu unawajua sn hawa watu.Hayo ndio maisha ya wakenya tangu walipopata Uhuru wao, yaani lazima awepo mtu mmoja ambaye ndiye anayefikiria watu wa jamii yake, ukimpinga unaitwa msaliti wa jamii hiyo na unastahili kuuliwa.
Ukambani alikua ni Kalonzo Musyoka, Ujaluoni ni Raila, Ukikuyu ni Kenyatta family, Kalenjin ni Moi Family, Luhya wao hawana umoja bado.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hii deal ya pipeline ni game-changer. Hata mimi nakubali. Hio deal inabadilisha game kabisa.Baada ya total kusaini mikataba na Tz,Uganda madhara yake katika uchumi sinayajulikana?Kenya mmesaini deal gani zaidi ya kutembeza bakuli Ufaransa
Ila sasa hivi wakenya wengi wameanza kujua kwamba mambo mengi waliyokua wakiaminishwa na viongozi wao na media zao sio kweli, sio kweli kwamba Kenya is very perfect kama walivyokua wakiaminishwa.Hahaha
Unapiga panapoumaIla sasa hivi wakenya wengi wameanza kujua kwamba mambo mengi waliyokua wakiaminishwa na viongozi wao na media zao sio kweli, sio kweli kwamba Kenya is very perfect kama walivyokua wakiaminishwa.
SGR, Covid-19, Kushindwa kwa KDF huko Somalia, kuongezeka kwa deni la taifa, kuendelea kuwepo kwa njaa, kuongezeka kwa rushwa, yote haya yameonyesha udhaifu wa nchi ya Kenya.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app




Yana-fall under dead weight of cargo! Hiyo 2500 tons.Umesahau magari 50
Kule port Sudan wanapopitisha over 200000 barrels a day hawawaiti shithole!South Sudan ni shit-hole zaidi ya DR. Congo
Kama umeikubali basi wewe umepevuka tayari!!Uganda nayo itatoka ldc soonHii deal ya pipeline ni game-changer. Hata mimi nakubali. Hio deal inabadilisha game kabisa.
Uganda watawapita kwenye GDP miaka kumi baada ya kuanza kuexport mafuta.Kama umeikubali basi wewe umepevuka tayari!!Uganda nayo itatoka ldc soon
Hilo swala linashugulikiwa..Zaidi ya ports 4 mpya ziko zinajengwa...kuna Meli Mbili zitaanza kujengwa soon moja ya mizigo nyngne ya magari...reli inatandikwa to the biggest of 4 ports..CRDB wana plan ya kuingia Congo..hizo ndo nnazojua ..kuna nyingne nying tu zinafanyika..istoshe..kuna company nyng tu za Tz ziko CongoKama ni hivyo basi mbona nyie Wabongo hamjachangamkia fursa hio? Niko 100% sure kama Kenya ingekuwa inapakana na sehemu tajiri kama hio tungewatawala hao watu sana. Tungefanya nao biashara kwa wingi tu. Hata tungeunda meli nyingi zamani tu na kutrade na wao. Barabara pia ingetandikwa zamani tu. Sasa nyinyi siwaelewi hata kidogo. Mbona mnazubaa sana?
Hata sie tuna $30 bln LNG investment kumbuka gas supports more petrochemical industries than crude oil i. e. steel, fertilizer, plastics production!Uganda watawapita kwenye GDP miaka kumi baada ya kuanza kuexport mafuta.
Over 55% of cargo to DRC inapitia Dar port!Hilo swala linashugulikiwa..Zaidi ya ports 4 mpya ziko zinajengwa...kuna Meli Mbili zitaanza kujengwa soon moja ya mizigo nyngne ya magari...reli inatandikwa to the biggest of 4 ports..CRDB wana plan ya kuingia Congo..hizo ndo nnazojua ..kuna nyingne nying tu zinafanyika..istoshe..kuna company nyng tu za Tz ziko Congo
Unajua wana potential ya kuwacha nyie pia...Mafuta huwa yanabidilisha kila kitu..basi tu yana curse ya kuto develop watu sana..angalia nigeria GDP kubwa..maisha ya kule bora niishi TanzaniaUganda watawapita kwenye GDP miaka kumi baada ya kuanza kuexport mafuta.
mwenye meli hii ni mtanzania aliewekeza congona ni mtu anaejihusisha zaidi na business ya logistics
View attachment 1613323

Namuona Onyango apo pembeni ana koti kubwa kama yupo msibani UingerezaMzigo ndio huo. Leo asubuhi.
View attachment 1613402



Asante kwa kunijuzaHilo swala linashugulikiwa..Zaidi ya ports 4 mpya ziko zinajengwa...kuna Meli Mbili zitaanza kujengwa soon moja ya mizigo nyngne ya magari...reli inatandikwa to the biggest of 4 ports..CRDB wana plan ya kuingia Congo..hizo ndo nnazojua ..kuna nyingne nying tu zinafanyika..istoshe..kuna company nyng tu za Tz ziko Congo
Nilidhani DRC ni complete shit-hole. Ni vipi wanaweza kuunda meli?
Tatizo kubwa la Nigeria ni corruption. Uganda sidhani kama wana corruption kiasi hicho. Lazima mizigo zitafikia wananchi.Unajua wana potential ya kuwacha nyie pia...Mafuta huwa yanabidilisha kila kitu..basi tu yana curse ya kuto develop watu sana..angalia nigeria GDP kubwa..maisha ya kule bora niishi Tanzania
Wakati Uganda wanaizidi Tz kwenye gdp basi itakuwa ndiyo nchi yenye gdp kubwa zaidi ukanda huu, af usisahau kwamba hilo bomba lao la mafuta linapita kwetu so pesa nyingi pia tutapata lakini vilevile wakati huo Tz nayo itakuwa ishagundua mafuta yake.Uganda watawapita kwenye GDP miaka kumi baada ya kuanza kuexport mafuta.