Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Google mukuru kwa njenga pia uongoze
Wala usiogope sitaigusa Kibera kabisa nakuhakikishia cz kenya uchafu upo nchi nzima co Kibera tu
Screenshot_2019-12-12-00-02-19.jpeg
 
Si kweli sisi tunaangalia uwezo wetu wa kusukuma maendeleo yetu kwa kasi na kwa uhakika. Tanzania iko very strategic kila mahali imejipanga na inaendelea kujipanga sawa sawa!!! Wakati mwingine huwa nawaza mkono wa Mwenyezi Mungu uko juu yetu. Maana kuna mengine unaona kabisa si kwa uwezo wetu.Amiiin.Katika mataifa yote Kenya ndo nchi ya kwanza itakayoinjoi ustawi wetu factors ziko nyingi sana waache kelele kbs.Ndo maana saa ingine huwa tunawatia tia makonzi.😄
Amka sasa kutoka kwenye ndoto, piga darubini Africa kote, nchi kadhaa zina amka na ziko na mikakati kabambe za kimaendeleo sio Tz pekee. Kenya too has developmental plans from county level to National, sasa kwa akili yako when will Tz catch up? When?., tukiweka facts humu mnaanza kulia lia na kukimbilia Turkana ama Kibera(old photos😂😂😂😂😂) kwasababu hampendi kuona Kenya iko juu yenu licha ya mapungufu tulio nayo! kubali your level, stick to your lane and grow steadily bila kufikiria Kenya.
 
Lapsset na Kisumu port zipo. Pengine hizo za kwanza mbili ndio zina tashwishi
LAPSSET mwaka wa 9 na Kisumu mwaka wa 4 huu! where is ur chapchap bravado?

Residents want State to give back key land in Lapsset corridor​

By PHARES MUTEMBEI | September 23rd 2020 at 00:00:00 GMT +0300
ubksvwle0o87fwfg5f6a27a898309.jpg

Former Lamu Governor Issa Timamy calms down residents of Kililana in Lamu after they held a protest over failure by the government to compensate them for using their land in LAPSET projects. [File, Standard]
With an oil pipeline, railway lines and international roads expected to pass through it, the Nyambene National Reserve in Meru is expected to reap big from the proposed Lamu Port-South Sudan-Ethiopia Transport (Lapsset) projects.

The prospects of huge economic gains in the Nyambene region comprising Tigania and Igembe has seen residents and leaders demand that the Nyambene National Reserve be de-gazetted and land adjudication done.

Former minister for State Marsden Madoka in Legal Notice No 86 of 2000 declared the area a reserve, but now the local community wants it to revert to the public.

Kubai Mamira, a resident of Lailuba, said the land, which was held in trust by the Nyambene County Council before it was declared a reserve, belonged to the community.

Mr Mamira said there was no “much wildlife” in Nyambene, and that since the community-owned the land, it had the right to be given title deeds for it.

“The land might be sold without the community being involved. The Lapsset project is going to be the economic game changer in the area... We need our land back,” said Mamira.

Mwenda Thiribi, a former commissioner with the Independent Electoral and Boundaries Commission and Meru Assembly Majority Leader Victor Kariithi said it was within the community’s rights to demand their land rights.


But Mr Thiribi said for the community to gain, the Meru County Government must first effect a change of user of Nyambene Reserve and involve the residents in the process.

“This land should be shared by the people of Nyambene. At the moment, it remains a national reserve. A change of user cannot be done without public participation. Residents will determine how they want it used,” he said.

Thiribi said if residents have their way and decide to have a share of the land, their plot numbers can be issued after mapping the area through the GPS system.

“The 640 square kilometre Nyambene Reserve is at the heart of Lapsset. With six international roads, a railway to Addis Ababa and Juba, an oil pipeline and other projects, this area will be one of the most developed in Kenya. We have the Meru, Borana and Turkana communities here, and all will be considered,” he said.

Market value
He said once adjudication and issuance of titles are done, landowners will be able to negotiate the market value of the land and get compensated.

In 2014, former Igembe North MP Joseph Eruaki presented a petition by residents in the National Assembly seeking to have the gazette notice issued by Major (Rtd) Madoka reversed and the land reverted to the community.

Mr Eruaki said the legal notice curved out 640.6 square kilometres of land to create Nyambene National Reserve and noted that there were six national parks all within a 50-kilometre radius that cater for conservancy in the area.

Eruaki said the gazettement of the national reserve was done without consulting the people at the grassroots whose livelihoods depended on the land for farming and grazing and that the area was also prime land for development of Isiolo Resort City and Lapsset. [Phares Mutembei]

 
Amka sasa kutoka kwenye ndoto, piga darubini Africa kote, nchi kadhaa zina amka na ziko na mikakati kabambe za kimaendeleo sio Tz pekee. Kenya too has developmental plans from county level to National, sasa kwa akili yako when will Tz catch up? When?., tukiweka facts humu mnaanza kulia lia na kukimbilia Turkana ama Kibera(old photos😂😂😂😂😂) kwasababu hampendi kuona Kenya iko juu yenu licha ya mapungufu tulio nayo! kubali your level, stick to your lane and grow steadily bila kufikiria Kenya.
Shida ya wabongo ni wanafikiri Tanzania pekee ndio Iko na maendelo watashutuka sana 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom