Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Brt na blue towers zinawafanya wafikiri wameshinda Kenya kimaendeleo
Hapa vp
tapatalk_1602839515296.jpeg
 
Dar es salaam tunaijua kikamilifu nenda danganya wa Malawi hivi., ama unataka nikupe one stop drone view, mwanzo mwisho ya developed area?😂😂😂😂 hapa nilimalizana na nyinyi hamna jipya kamwe., North, East ,West south Dar is shity! Only the middle area mna rotate vipicha.😂😂 viwanda bado sana ndio mnaanza tu kaka! Tukome tafadhali😂😂😂
 
Dar es salaam tunaijua kikamilifu nenda danganya wa Malawi hivi., ama unataka nikupe one stop drone view, mwanzo mwisho ya developed area?😂😂😂😂 hapa nilimalizana na nyinyi hamna jipya kamwe., North, East ,West south Dar is shity! Only the middle area mna rotate vipicha.😂😂 viwanda bado sana ndio mnaanza tu kaka! Tukome tafadhali😂😂😂
Heshima muhimu Sana Nairobi pekee ina GDP inayotoshana na GDP ya Tanzania
 
Brt na blue towers zinawafanya wafikiri wameshinda Kenya kimaendeleo
Si kweli sisi tunaangalia uwezo wetu wa kusukuma maendeleo yetu kwa kasi na kwa uhakika. Tanzania iko very strategic kila mahali imejipanga na inaendelea kujipanga sawa sawa!!! Wakati mwingine huwa nawaza mkono wa Mwenyezi Mungu uko juu yetu. Maana kuna mengine unaona kabisa si kwa uwezo wetu.Amiiin.Katika mataifa yote Kenya ndo nchi ya kwanza itakayoinjoi ustawi wetu factors ziko nyingi sana waache kelele kbs.Ndo maana saa ingine huwa tunawatia tia makonzi.😄
 
Back
Top Bottom