toptorn
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,164
- 2,822
Tony umetoka usingizini niniKey word ni "market complex". Neno "business park" lisikuchanganye. Hili ni soko kama lenu la Kariokoo. Jifunze kusoma bila kukurupuka.
Cc Geza Ulole
Tony umetoka usingizini niniKey word ni "market complex". Neno "business park" lisikuchanganye. Hili ni soko kama lenu la Kariokoo. Jifunze kusoma bila kukurupuka.
Cc Geza Ulole
kama mtu anasema hii ni ultra moder business park hvi kweli mutasema bangi haivutwi 😂😂👇👇
View attachment 1611395View attachment 1611396View attachment 1611397View attachment 1611398View attachment 1611399View attachment 1611400View attachment 1611401
View attachment 1611403View attachment 1611404View attachment 1611402
Hii ni habari ya June 16 2020. Hii ni hata kabla ya Rais wao Sisi kukiri kwamba Egypt haina mpango wa kupigana vita na Ethiopia kwa sasa na kwamba diplomasia ndio imepewa kipaumbele.Geza na Tony254
Haya mashambulizi ni 95% lazima yatatokea kama Ethiopia itaendelea na ujeuri wake.
Egypt: "if Ethiopia does not reach an agreement with us, we will... call for war."
The statements of officials in Egypt about the failure of the tripartite talks with Ethiopia and Sudan over the Renaissance Dam were accompanied by voiceswww.easternherald.com
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Weka picha ya Kariokoo hapa tulinganishe.Haiwezi hata ikakaribia 1% ya kariakoo.
Usifananishe kariakoo na mambo ya kijinga.
La. Huwa nasikia tu.Hv tonny umewahi kufika kkoo??
Mpambano unanoga joto la jiwe alikuwa akinionea na data zake!Hii ni habari ya June 16 2020. Hii ni hata kabla ya Rais wao Sisi kukiri kwamba Egypt haina mpango wa kupigana vita na Ethiopia kwa sasa na kwamba diplomasia ndio imepewa kipaumbele.
Hii article ni ya June 20 2020. Siku nne baada ya hio article yako kuchapishwa. Maneno ya Sisi ni mazito kushinda maneno ya civil servants katika serikali ya Egypt.
Kkoo hyo apo haya leta ile picha yakoWeka picha ya Kariokoo hapa tulinganishe.
Itakuwa Uzinguzi maana haikai level ya uzinduzi!Sasa na huyu jamaa wao namba moja, ndiyo kaja kufanya uzinguzi au kukagua?
😛😛😛
3 floors plus underground floor K'koo market!Kkoo hyo apo haya leta ile picha yako View attachment 1611440
Hakuna nchi yoyote yenye kupanga vita, jambo alilosema Sisi na dunia nzima ni kwamba majadiliano ndio njia bora ya kutatua mgogoro huu, isipokua kama Ethiopia itaendelea kujazwa hilo bwawa kabla ya kufikia muafaka, basi military action itatumika ili kuilazimisha Ethiopia kuacha kulijaza hadi watakapofikia makubaliano, Ethiopia imesema itaendelea kulijaza "regardless" ya mazungumzo.Hii ni habari ya June 16 2020. Hii ni hata kabla ya Rais wao Sisi kukiri kwamba Egypt haina mpango wa kupigana vita na Ethiopia kwa sasa na kwamba diplomasia ndio imepewa kipaumbele.
Hii article ni ya June 20 2020. Siku nne baada ya hio article yako kuchapishwa. Maneno ya Sisi ni mazito kushinda maneno ya civil servants katika serikali ya Egypt.
Wekeni video ya kariokoo mnitoe ushamba.
Wewe unajua kweli kwamba HQ ya AU ipo Ethiopia? Ama unadhani kuwa AU watakunya kwenye sahani wanachokulia kila siku?Ukiufuatilia huu mgogoro ulivyo, hata AU pia itakubaliana na Egypt, Ethiopia waneonyesha Kiburi cha hali ya juu sana, ni sawa na Joyce Banda alivyotoa kibali kwa makampuni ya kutafuta gas duniani kuja kutafuta mafuta Mbamba bay na maeneo mengine ya Tanzania bila kutushirikisha akijua wazi kwamba mazungumzo ya upatanishi kati ya Tanzania na Malawi bado hayajafika mwisho.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hahahaha, kwahiyo Ethiopia inaweza kufanya ujinga ipendavyo ikiwemo kuzidungua ndege za Kenya ndani ya Somalia na kuishambulia Kenya kwa kuingiza vikosi vyao ndani ya ardhi ya Kenya na bado AU inyamaze kimya kwasababu HQ ipo Addis?Wewe unajua kweli kwamba HQ ya AU ipo Ethiopia? Ama unadhani kuwa AU watakunya kwenye sahani wanachokulia kila siku?
Kwa hivyo kulingana na wewe kulipua bwawa la jirani yako sio war bali ni military action. Kwani hio military action haitasababisha war? Kwani Ethiopia itabomolewa dam kisha wao warudi mezani kama watoto wazuri au watadeclare war? Lazima watadeclare war.Hakuna nchi yoyote yenye kupanga vita, jambo alilosema Sisi na dunia nzima ni kwamba majadiliano ndio njia bora ya kutatua mgogoro huu, isipokua kama Ethiopia itaendelea kujazwa hilo bwawa kabla ya kufikia muafaka, basi military action itatumika ili kuilazimisha Ethiopia kuacha kulijaza hadi watakapofikia makubaliano, Ethiopia imesema itaendelea kulijaza "regardless" ya mazungumzo.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Naona ipo sawa. Sisi hatuna kama hio ya ghorofa tatuKkoo hyo apo haya leta ile picha yako View attachment 1611440
Ndo mana nasema mkenya huyu yupo tofauti, na kakubali kiroho safi, hongera sana mkuuNaona ipo sawa. Sisi hatuna kama hio ya ghorofa tatu
Bwahaha!!ushuzi tena kumbe huamini km mombasa kuna residential area kubwa zaidi ya mwanza, arusha, mbeya combined
Nyumba nzuri sana hzonimerudi na hii maneno kwanza
Leta your best kutoka mwanza, arusha, dodoma nikuletee ya kawaida mombasaleta suburb kubwa kutoka mombasa tuone ukipata tag me