Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Itakuwa anafanya uzinguzi wa soko jipya.

πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
soko au zizi la nguruwe??πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
5EF7E87C-634F-464D-978B-69AEACB02F58.jpeg
00532E26-82F8-4910-B5EE-AB5A70126ECB.jpeg
37FF2E07-7CA0-48E5-9B82-138A6FBDD5F5.jpeg
635AF7B6-91F8-47E1-8CF8-7AF7E24422BF.jpeg
615E7A6D-DCF7-44AD-A39A-15FE8B0351B2.jpeg
B840F6C6-25B8-4FFF-AD74-06DE69CEC184.jpeg
BAEC9AE9-A3F8-444C-BF4E-21E5D1E9DE9F.jpeg
43154866-CCB7-4EDF-B60C-C2BD8AFB8E21.jpeg
 
Kama hujui Egypt ifanye nini katika hili, sasa mbona unapinga pale Egypt pamoja na USA wakikubaliana kwamba njia pekee ilitobaki ni kulishambulia hilo bwawa?. Wewe na viongozi wa Egypt yupi anajua zaidi umuhimi na hasara za kulipua hilo bwawa?.

Ukweli ni kwamba, there ia no life in Egypt without water from river Nile", hilo bwawa la Aswan huko Egypt linategemea maji ya mto Nile. Kwa kifupi ni kwamba, maji ya mto Nile is a matter of life and death for 90% of Egyotians. Kama Ethiopia itaendelea kujaza bila kufikia makubaliano, Egypt haina "option" isipokua ni kulipiga MABOMU.

Kama Abiy Ahmed ataamua kujibu mapigo kwa kuipiga Egypt badala ya kurudi katika meza ya mazungumzo, atakua ameisaidia Egypt kuichakaza Ethiopia na kuliharibu kabisa hilo bwawa kiasi kushindikana kabisa kufanyika ukarabati siku zijazo. Ni matumaini yangu kwamba Ethiopia itasalimu amri mapema na kurudi katika meza ya mazungumzo kabla ya kudhalilishwa katika vita ambavyo nafasi ya Ethiopia kushinda ni ndogo sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
:) Mkuu kama unasukuma kete yani
 
Kama hujui Egypt ifanye nini katika hili, sasa mbona unapinga pale Egypt pamoja na USA wakikubaliana kwamba njia pekee ilitobaki ni kulishambulia hilo bwawa?. Wewe na viongozi wa Egypt yupi anajua zaidi umuhimi na hasara za kulipua hilo bwawa?.

Ukweli ni kwamba, there ia no life in Egypt without water from river Nile", hilo bwawa la Aswan huko Egypt linategemea maji ya mto Nile. Kwa kifupi ni kwamba, maji ya mto Nile is a matter of life and death for 90% of Egyotians. Kama Ethiopia itaendelea kujaza bila kufikia makubaliano, Egypt haina "option" isipokua ni kulipiga MABOMU.

Kama Abiy Ahmed ataamua kujibu mapigo kwa kuipiga Egypt badala ya kurudi katika meza ya mazungumzo, atakua ameisaidia Egypt kuichakaza Ethiopia na kuliharibu kabisa hilo bwawa kiasi kushindikana kabisa kufanyika ukarabati siku zijazo. Ni matumaini yangu kwamba Ethiopia itasalimu amri mapema na kurudi katika meza ya mazungumzo kabla ya kudhalilishwa katika vita ambavyo nafasi ya Ethiopia kushinda ni ndogo sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Unajua Aswan High Dam...inavyosaidia kwenye irrigation ya Egypt....achana na umeme maana thats just a pinch...wanaitumia sana..kwa irrigation..inaweza tunza maji hata ya miaka miwili...sasa je Ethiopia ikirudisha bomb..aswan..si hasara na ukame
 
Unajua Aswan High Dam...inavyosaidia kwenye irrigation ya Egypt....achana na umeme maana thats just a pinch...wanaitumia sana..kwa irrigation..inaweza tunza maji hata ya miaka miwili...sasa je Ethiopia ikirudisha bomb..aswan..si hasara na ukame
Hiyo Aswan dam itapata maji toka wapi kama Ethiopia wataendelea kujaza hilo bwawa lao?.

Kuhusu Ethiopia kulishambulia Aswan dam, Ethiopia haina uwezo wa kupiga sehemu yoyote ndani ya Egypt, ni sawa na kusema Tanzania tuna uwezo wa kulipua Victoria Falls, hatuna ndege wala Ballistic missiles zenye uwezo za kufika huko.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kama hujui Egypt ifanye nini katika hili, sasa mbona unapinga pale Egypt pamoja na USA wakikubaliana kwamba njia pekee ilitobaki ni kulishambulia hilo bwawa?. Wewe na viongozi wa Egypt yupi anajua zaidi umuhimi na hasara za kulipua hilo bwawa?.

Ukweli ni kwamba, there ia no life in Egypt without water from river Nile", hilo bwawa la Aswan huko Egypt linategemea maji ya mto Nile. Kwa kifupi ni kwamba, maji ya mto Nile is a matter of life and death for 90% of Egyotians. Kama Ethiopia itaendelea kujaza bila kufikia makubaliano, Egypt haina "option" isipokua ni kulipiga MABOMU.

Kama Abiy Ahmed ataamua kujibu mapigo kwa kuipiga Egypt badala ya kurudi katika meza ya mazungumzo, atakua ameisaidia Egypt kuichakaza Ethiopia na kuliharibu kabisa hilo bwawa kiasi kushindikana kabisa kufanyika ukarabati siku zijazo. Ni matumaini yangu kwamba Ethiopia itasalimu amri mapema na kurudi katika meza ya mazungumzo kabla ya kudhalilishwa katika vita ambavyo nafasi ya Ethiopia kushinda ni ndogo sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Sawa. Sitaki kuargue kuhusu jambo hili. Amini unachotaka na mimi nitaamini ninachotaka. Kwenye hii debate hakuna anayekubali kushindwa.
 
Hiyo Aswan dam itapata maji toka wapi kama Ethiopia wataendelea kujaza hilo bwawa lao?.

Kuhusu Ethiopia kulishambulia Aswan dam, Ethiopia haina uwezo wa kupiga sehemu yoyote ndani ya Egypt, ni sawa na kusema Tanzania tuna uwezo wa kulipua Victoria Falls, hatuna ndege wala Ballistic missiles zenye uwezo za kufika huko.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kwan unahisi ethiopia hana Fighter jets..? ..wote egypt na Ethiopia wanazo...ndo hvyo ni swala la ku negotiate sio vita...egypt akimwaga mboga/ugali ethiopia hatokubali watafanya hvyo
 
120 Reactions
Reply
Back
Top Bottom