komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Endelea kuipenda kimya kimya kijana, chunga usije ukajiua
Endelea kuipenda kimya kimya kijana, chunga usije ukajiua
Yaani nimefuatilia documentary ya hii kitu aisee ni balaaHii kitu inakimbizwa hadi raha.
Yn tunajenga nchi usiku na mchana wenzetu wanabomoa nchi yao usiku na mchana![]()
Kuna sehemu niliona wanafikiria kujenga reli chini ya bahari mpaka marekani.
sio treni ya umeme hiyo! Hizo ni DMUs yaani Diesel Multiple units! Hizo nyaya unazoziona ni nguzo za Kenya power hazihusiani na uendeshaji wa hiyo mitumba!!
Mbingu na ardhiEndelea kuipenda kimya kimya kijana, chunga usije ukajiua



leta suburb kubwa kutoka mombasa tuone ukipata tag me 😂😂😂😂😂Leta unayoikubali, ama nikupe residential area ambayo inameza suburb zote za mwanza![]()
Arusha.
![]()
Si Arusha hii ! Tunawaumbua Wakenya humu lakini sie wengine wetu tunadanganya 😡!
Residential area hyo tena ya kawaida sana
Vile vipicha vinaingia mara kadhaa hapoView attachment 1610717
after zooming nimeona hiii maneno 😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇 tuko sawaResidential area hyo tena ya kawaida sana
Vile vipicha vinaingia mara kadhaa hapoView attachment 1610717
zoom sasa uone balaa na ushuzi ndani yake 😂😂😂😂😂👇👇👇👇👇Asante sana dada, hii picha nilikuwa naitafuta sana![]()
Ss hvyo vibanda vinatakiwa vitoke hapo la cvyo hilo soko litakuwa halina maana.View attachment 1610844
Magomeni modern small market
😂😂😂😂👇👇👇👇 nimerudi na hii maneno kwanzaUgua pole polemwenzako
Akirudi na vile vijiji nitag