Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii kitu inakimbizwa hadi raha.
Yn tunajenga nchi usiku na mchana wenzetu wanabomoa nchi yao usiku na mchana
Yaani nimefuatilia documentary ya hii kitu aisee ni balaa

Litakua ziwa la 4 kwa ukubwa Tanzania likitoka Nyasa, Litakua na samaki wa kufa mtu, Litakua na visiwa vingi na kikubwa zaidi kitakua za zaidi ya square kilometres 1, litatengeneza some kind of evergreen caldera-like superbowl kama pale Ngorongoro litakalokusanya wanyama wengi sana sababu ya majani na maji yasiokauka ambapo Nyerere Park itakua ya kipekee sana.

I can't wait aisee.
 
Kuna sehemu niliona wanafikiria kujenga reli chini ya bahari mpaka marekani.

Hata mie nishaona kwa kupitia Russia na tokea Alaska, inawezekana kama wanajenga undersea tunnel ya 123km sidhani kama haiwezekani kutoka Alaska kwenda US kupitia Canada! Hii plan yao ya silk and Road ina ambitions kubwa sana!

Alaska-location-map.jpg
 
Back
Top Bottom