Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyumba nzuri sana hzo
Residentials hzo
Zinakusumbuaga mpka unaamua kupoteza mda ku zoom
Komora hebu kuwa serious ata kdg bhn huu ni ushuzi
tapatalk_1603553344035.jpeg
 
Kwa hivyo kulingana na wewe kulipua bwawa la jirani yako sio war bali ni military action. Kwani hio military action haitasababisha war? Kwani Ethiopia itabomolewa dam kisha wao warudi mezani kama watoto wazuri au watadeclare war? Lazima watadeclare war.
Hivi wewe mtu akitaka urudi mezani uzungumze naye kisha aamue kukupiga ngumi akuvunje meno tatu, hautadeclare war? Lazima utapambana na yeye kwanza. Egypt akifanya hicho kitendo basi kwa mujibu wa Sheria za UN Ethiopia ana haki zote ya kulipiza mapigo aliyopokea. Ethiopia ana haki zote kisheria kulipua Aswan High Dam. Tit for tat is a fair game. Halafu kumbuka world war 1 ilianzishwa kwa sababu mtoto wa mfalme wa nchi fulani alipigwa risasi na kuuawa. Sasa ili vita ianze sio lazima pawe na sababu ya msingi. Vita inaweza kuanzishwa na sababu ya ujinga tu.
Kwahiyo ulitaka Egypt ifanyeje kama Ethiopia imeamua kujaza bwawa kabla ya makubaliano hayajafikiwa?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo ulitaka Egypt ifanyeje kama Ethiopia imeamua kujaza bwawa kabla ya makubaliano hayajafikiwa?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Sijui Egypt ilitakiwa ifanye nini. Ila ninachojua ni kuwa jirani yako hawezi kukupiga ngumi ya kisogo na wewe uanze kucheka na yeye. Egypt wakiamua kulipua bwawa basi kisheria Ethiopia wana haki ya kulipiza mapigo. Sidhani kama unafahamu umuhimu wa Aswan HIgh dam kwa uchumi wa Egypt na jinsi itaumiza Egypt ikilipuliwa na Ethiopia in a retaliatory strike. Aswan ina umuhimu mkubwa sana kwa Egypt kwa sababu inatumika kuregulate flow of water in the Nile wakati wa kiangazi. Wakati kuna kiangazi Egypt, maji yaliyohifadhiwa ndani ya Aswan high dam huwa yanakuwa released kidogo kidogo ili kukidhi mahitaji ya Egypt kwenye irrigation na domestic use. Bila Aswan high dam, maji katika Nile upande wa Egypt utakuwa chini sana wakati wa Kiangazi na watu watakosa maji kwa matumizi mbalimbali. Hii dam ina act kama valve ya kurelease maji polepole wakati wa kiangazi na kuzuia famine na drought. Egypt sio wajinga. Wanajua fika kuwa wakibomb dam ya Ethiopia, basi dam yao pia itabombiwa.
 
Sijui Egypt ilitakiwa ifanye nini. Ila ninachojua ni kuwa jirani yako hawezi kukupiga ngumi ya kisogo na wewe uanze kucheka na yeye. Egypt wakiamua kulipua bwawa basi kisheria Ethiopia wana haki ya kulipiza mapigo. Sidhani kama unafahamu umuhimu wa Aswan HIgh dam kwa uchumi wa Egypt na jinsi itaumiza Egypt ikilipuliwa na Ethiopia in a retaliatory strike. Aswan ina umuhimu mkubwa sana kwa Egypt kwa sababu inatumika kuregulate flow of water in the Nile wakati wa kiangazi. Wakati kuna kiangazi Egypt, maji yaliyohifadhiwa ndani ya Aswan high dam huwa yanakuwa released kidogo kidogo ili kukidhi mahitaji ya Egypt kwenye irrigation na domestic use. Bila Aswan high dam, maji katika Nile upande wa Egypt utakuwa chini sana wakati wa Kiangazi na watu watakosa maji kwa matumizi mbalimbali. Hii dam ina act kama valve ya kurelease maji polepole wakati wa kiangazi na kuzuia famine na drought. Egypt sio wajinga. Wanajua fika kuwa wakibomb dam ya Ethiopia, basi dam yao pia itabombiwa.
Kama hujui Egypt ifanye nini katika hili, sasa mbona unapinga pale Egypt pamoja na USA wakikubaliana kwamba njia pekee ilitobaki ni kulishambulia hilo bwawa?. Wewe na viongozi wa Egypt yupi anajua zaidi umuhimi na hasara za kulipua hilo bwawa?.

Ukweli ni kwamba, there ia no life in Egypt without water from river Nile", hilo bwawa la Aswan huko Egypt linategemea maji ya mto Nile. Kwa kifupi ni kwamba, maji ya mto Nile is a matter of life and death for 90% of Egyotians. Kama Ethiopia itaendelea kujaza bila kufikia makubaliano, Egypt haina "option" isipokua ni kulipiga MABOMU.

Kama Abiy Ahmed ataamua kujibu mapigo kwa kuipiga Egypt badala ya kurudi katika meza ya mazungumzo, atakua ameisaidia Egypt kuichakaza Ethiopia na kuliharibu kabisa hilo bwawa kiasi kushindikana kabisa kufanyika ukarabati siku zijazo. Ni matumaini yangu kwamba Ethiopia itasalimu amri mapema na kurudi katika meza ya mazungumzo kabla ya kudhalilishwa katika vita ambavyo nafasi ya Ethiopia kushinda ni ndogo sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom