The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Komora hebu kuwa serious ata kdg bhn huu ni ushuziNyumba nzuri sana hzo
Residentials hzo
Zinakusumbuaga mpka unaamua kupoteza mda ku zoom![]()


Komora hebu kuwa serious ata kdg bhn huu ni ushuziNyumba nzuri sana hzo
Residentials hzo
Zinakusumbuaga mpka unaamua kupoteza mda ku zoom![]()


Kwahiyo ulitaka Egypt ifanyeje kama Ethiopia imeamua kujaza bwawa kabla ya makubaliano hayajafikiwa?Kwa hivyo kulingana na wewe kulipua bwawa la jirani yako sio war bali ni military action. Kwani hio military action haitasababisha war? Kwani Ethiopia itabomolewa dam kisha wao warudi mezani kama watoto wazuri au watadeclare war? Lazima watadeclare war.
Hivi wewe mtu akitaka urudi mezani uzungumze naye kisha aamue kukupiga ngumi akuvunje meno tatu, hautadeclare war? Lazima utapambana na yeye kwanza. Egypt akifanya hicho kitendo basi kwa mujibu wa Sheria za UN Ethiopia ana haki zote ya kulipiza mapigo aliyopokea. Ethiopia ana haki zote kisheria kulipua Aswan High Dam. Tit for tat is a fair game. Halafu kumbuka world war 1 ilianzishwa kwa sababu mtoto wa mfalme wa nchi fulani alipigwa risasi na kuuawa. Sasa ili vita ianze sio lazima pawe na sababu ya msingi. Vita inaweza kuanzishwa na sababu ya ujinga tu.
Narudia tena, ile siku utaleta residential kw ukubwa huo tanzania nzima na log off jf...Ndiyo hii picha ya Mombasa eti walikuwa wanalinganisha na kkoo![]()



Unatafuta pa kutokea sio




Nahisi wamarekani wameona hicho ni kihampa cha mchinawasicancel vp wakat nchi imekufa tayar hata marekani ameshtuka 😂😂😂😂
Sijui Egypt ilitakiwa ifanye nini. Ila ninachojua ni kuwa jirani yako hawezi kukupiga ngumi ya kisogo na wewe uanze kucheka na yeye. Egypt wakiamua kulipua bwawa basi kisheria Ethiopia wana haki ya kulipiza mapigo. Sidhani kama unafahamu umuhimu wa Aswan HIgh dam kwa uchumi wa Egypt na jinsi itaumiza Egypt ikilipuliwa na Ethiopia in a retaliatory strike. Aswan ina umuhimu mkubwa sana kwa Egypt kwa sababu inatumika kuregulate flow of water in the Nile wakati wa kiangazi. Wakati kuna kiangazi Egypt, maji yaliyohifadhiwa ndani ya Aswan high dam huwa yanakuwa released kidogo kidogo ili kukidhi mahitaji ya Egypt kwenye irrigation na domestic use. Bila Aswan high dam, maji katika Nile upande wa Egypt utakuwa chini sana wakati wa Kiangazi na watu watakosa maji kwa matumizi mbalimbali. Hii dam ina act kama valve ya kurelease maji polepole wakati wa kiangazi na kuzuia famine na drought. Egypt sio wajinga. Wanajua fika kuwa wakibomb dam ya Ethiopia, basi dam yao pia itabombiwa.Kwahiyo ulitaka Egypt ifanyeje kama Ethiopia imeamua kujaza bwawa kabla ya makubaliano hayajafikiwa?
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hii soko ya Mombasa imefunguliwa? Halafu kumbe ni ya ghorofa duh!
kwan mm ndio nilieandika unanilaumu mm 😂😂😂😂👇👇👇👇Key word ni "market complex". Neno "business park" lisikuchanganye. Hili ni soko kama lenu la Kariokoo. Jifunze kusoma bila kukurupuka.
Cc Geza Ulole
eti anakagua 😂😂😂😂 jubilee banaSasa na huyu jamaa wao namba moja, ndiyo kaja kufanya uzinguzi au kukagua?
😛😛😛
Bro kenya mambo hatufanyi majukwaani km watu wengine, hilo soko lilifunguliwa kitambo sana..Hii soko ya Mombasa imefunguliwa? Halafu kumbe ni ya ghorofa duh!
hzi au sio 😂😂😂😂👇👇👇👇Nyumba nzuri sana hzo
Residentials hzo
Zinakusumbuaga mpka unaamua kupoteza mda ku zoom![]()
mm nilishakupa ya mwanza mpaka leo sijapata majibu mwenzio alikimbia humu 😂😂😂😂😂Leta your best kutoka mwanza, arusha, dodoma nikuletee ya kawaida mombasa![]()
Kama hujui Egypt ifanye nini katika hili, sasa mbona unapinga pale Egypt pamoja na USA wakikubaliana kwamba njia pekee ilitobaki ni kulishambulia hilo bwawa?. Wewe na viongozi wa Egypt yupi anajua zaidi umuhimi na hasara za kulipua hilo bwawa?.Sijui Egypt ilitakiwa ifanye nini. Ila ninachojua ni kuwa jirani yako hawezi kukupiga ngumi ya kisogo na wewe uanze kucheka na yeye. Egypt wakiamua kulipua bwawa basi kisheria Ethiopia wana haki ya kulipiza mapigo. Sidhani kama unafahamu umuhimu wa Aswan HIgh dam kwa uchumi wa Egypt na jinsi itaumiza Egypt ikilipuliwa na Ethiopia in a retaliatory strike. Aswan ina umuhimu mkubwa sana kwa Egypt kwa sababu inatumika kuregulate flow of water in the Nile wakati wa kiangazi. Wakati kuna kiangazi Egypt, maji yaliyohifadhiwa ndani ya Aswan high dam huwa yanakuwa released kidogo kidogo ili kukidhi mahitaji ya Egypt kwenye irrigation na domestic use. Bila Aswan high dam, maji katika Nile upande wa Egypt utakuwa chini sana wakati wa Kiangazi na watu watakosa maji kwa matumizi mbalimbali. Hii dam ina act kama valve ya kurelease maji polepole wakati wa kiangazi na kuzuia famine na drought. Egypt sio wajinga. Wanajua fika kuwa wakibomb dam ya Ethiopia, basi dam yao pia itabombiwa.
soko liko mbeya 😂😂👇👇👇 since 2016
eti anakagua 😂😂😂😂 jubilee bana
mbeya city 👇👇👇👇 soko hilo since 2016Hii soko ya Mombasa imefunguliwa? Halafu kumbe ni ya ghorofa duh!