Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

.

Mainstream media haikusema hyo habari
Halafu habari mbaya yeyote kuhusu Tanzania magufuli na ccm wanacensor dunia yote inawatambua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

tofauti yetu na nyinyi ni kihelehele[emoji1787][emoji1787].

nyinyi wanaume hamjui hata ni habari zipi za kutangaza na zipi za kukausha kwa ajiri ya maslahi ya taifa.hata covid mlisema tunaficha tutaumbuka,badala yake covid imejuta kutufahamu.

hao wahuni nikikwambia saa hii wako wanafilika hutaamini pia.
 
tofauti yetu na nyinyi ni kihelehele[emoji1787][emoji1787].

nyinyi wanaume hamjui hata ni habari zipi za kutangaza na zipi za kukausha kwa ajiri ya maslahi ya taifa.hata covid mlisema tunaficha tutaumbuka,badala yake covid imejuta kutufahamu.

hao wahuni nikikwambia saa hii wako wanafilika hutaamini pia.
😂😂😂😂 Hohohohoho covid inawafahamu na mnakopa pesa kukabiliana na covid 😂😂😂😂
Mbna tufiche Sasa 😂😂😂 na shambulizi lishafanyika inafaida gani na nani anafaidika hao mawazo ni ya ccm na magufuli pekee Sema ukweli na utakueka huru 😂😂
 
Hizi ni njama za manguruwe ya west ili Magu asiende kupiga kampeni Kusini, we unafikiri raia wa hayo maeneo watauaje watu wa jamii yao? Walijaribu kwenye mapango Tanga wakapukutishwa, wakajaribu pwani wakapotezwa na hapo wamechokoza. Usisahau kuwa inapokuja swala la ground force tuko vizuri kuliko hata wanavyoturate.
Yani eti rais ashindwe kukanyaga sehemu flani katika ardhi kisa hao jamaa..
Duh!!kwn security yake ipo down kiaje huku uhuru na generali wa jeshi wanatinga somalia watakavyo tena wanapata na nafasi ya kuhutubia wanajeshi kabisa...

Sababu ya kijinga sana hyo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hohohohoho covid inawafahamu na mnakopa pesa kukabiliana na covid [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna tufiche Sasa [emoji23][emoji23][emoji23] na shambulizi lishafanyika inafaida gani na nani anafaidika hao mawazo ni ya ccm na magufuli pekee Sema ukweli na utakueka huru [emoji23][emoji23]

nani anaficha wewe kiazi!!!!nimekuuliza umejuaje kama tuliamua tufiche????

nani ameomba pesa ya kukabiriana na covid kama sio mlevi wa nairobi???
 
nani anaficha wewe kiazi!!!!nimekuuliza umejuaje kama tuliamua tufiche????

nani ameomba pesa ya kukabiriana na covid kama sio mlevi wa nairobi???
C magufuli alificha ww umeona habari kuhusu shambulizi la kigaidi mtwara likitangazwa Tanzania 😂😂😂😂
Unataka link ama 😂😂😂
 
Haiya. Siasa yenu kweli mbaya,no democracy at all,magu anatakiwa kifika eneo kote anapojihisi kufika,Uhuru hakuna mahali hawezi tembea hapa Kenya,anapendwa na wote
Acha maneno ya kitoto. Angeenda kwenye ile shule ambayo wanafunzi walitekwa na al-shabaab akaongee na wanafunzi kabla msala haujaisha au angetembea bila escort basi
 
We naona umebanwa na haja kubwa nenda kakate gogo kwanza halafu uje
Wadhamini kidogo
JamiiForums-2041832914.jpg
 
Yani eti rais ashindwe kukanyaga sehemu flani katika ardhi kisa hao jamaa..
Duh!!kwn security yake ipo down kiaje huku uhuru na generali wa jeshi wanatinga somalia watakavyo tena wanapata na nafasi ya kuhutubia wanajeshi kabisa...

Sababu ya kijinga sana hyo
Wanajeshi na sio raia sio
 
Back
Top Bottom