TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
Wacha hasira πππ umeuliza nikakujibu πππhujui hata msingi wa kukuuliza hilo swali,kakojoe ulale.
Wacha hasira πππ umeuliza nikakujibu πππhujui hata msingi wa kukuuliza hilo swali,kakojoe ulale.
Wacha hasiraumeuliza nikakujibu
![]()


.Umbea gani ππππumejuaje nina hasira,au hiyo pia international media zimekwambia.
nyie mko na umbea sana.
hujui hata msingi wa kukuuliza hilo swali,kakojoe ulale.
hakuna kambi ya jeshi iliovamiwa hio naskia kwako wwTanzania najua vizuri sana kambi yenu ya jeshi mtwara ilivamiwa mkaficha habari πππ
rudi page za nyuma alipost ndugu yako ya naivashaHahaa!!lete jina ya hyo suburb basi
hujui kiswahili sindioππ hata loan hujui ilichukuliwa kwa ajili ya nnππππ Hohohohoho covid inawafahamu na mnakopa pesa kukabiliana na covid ππππ
Mbna tufiche Sasa πππ na shambulizi lishafanyika inafaida gani na nani anafaidika hao mawazo ni ya ccm na magufuli pekee Sema ukweli na utakueka huru ππ
hao waliovamia wanasema wameua wanajeshi watatu mm nataka kuona miili ya hao wanajeshi ukipata mm nafunga acc jamii forum mark my wordsMozambique: Cabo Delgado Terrorists Attack Tanzania
Fungua link usome πππ
na usisahau tanzania imeingia middle income na usisahau tanzania haina njaa huku unemployment rate yake ni ndogo zaidi east and central africa huku ikiwa na watu wengi east afticaUmbea gani ππππ
Nyie hamupendi ukweli mkiambiwa munaanza vijisababu
usisahau Tanzania ni miongoni wa nchi znazoongoza umaskini wa kutupwa Africa ππππ
hujui kiswahili sindiohata loan hujui ilichukuliwa kwa ajili ya nn
tanznaia huwezi kuta binaadamu wanaishi maisha ya nguruwe never ever so hapo kwa kutumia akili utaelewa na zungumza mnππππππππUmbea gani ππππ
Nyie hamupendi ukweli mkiambiwa munaanza vijisababu
usisahau Tanzania ni miongoni wa nchi znazoongoza umaskini wa kutupwa Africa ππππ
Unaiongeleaje the US?
Na ndiyo nchi pekee iliyoendelea chini ya kivuli cha democracy lkn pia nao democracy iliwachelewesha mno kuwa developed japo uzalendo uliwasaidia sn, ss kwa nchi zetu za kiafrika ni ngumu sana kuendelea chini ya kivuli cha democracy cz hatuna uzalendo kutokana na njaa inayitusumbua.
Mkuu US ilishaendelea na hata kipindi chao cha democracy wamewaongezea sana muda viongozi waliofanya vizuri, mfano mzuri ni yule aliekaa mpaka akafia madarakani, mwingine ni bush na wengineo ambao hatuwajui
au KNBS ni waongo ππππππUmbea gani ππππ
Nyie hamupendi ukweli mkiambiwa munaanza vijisababu
usisahau Tanzania ni miongoni wa nchi znazoongoza umaskini wa kutupwa Africa ππππ
au KNBS ni waongo ππππππ
najua utasema huwaamini KNBSππUmbea gani ππππ
Nyie hamupendi ukweli mkiambiwa munaanza vijisababu
usisahau Tanzania ni miongoni wa nchi znazoongoza umaskini wa kutupwa Africa ππππ
yea its over half wako hapa kujikuna makalioπππ23 mln poor out of 45 mln Kenyans? hii ni over 50%!
kwao wizi ni laana waliochiwa na kenyatta sasa its normal ππππ ndio maana tribalism inakula nyama zao leo wamekuja na fake BBI kudanganya wakenya siasa zinaanza 2020 wakat uchaguzi 2022 yani watu wanapoteza 2good yrs kwenye siasamim nawaambiaga watu.. ningekuwa mwanasiasa mkenya.. ningekuwa tajiri sana sio kwa uzembe wa raia wao.. mana raia zao wanaona kitu cha kawaida sana kiongoz kula mali za umma.. na ningekula zaid hata kuliko rais wao
πππππ