Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
Oops 😬
Jiangalie mko wapi ingekuwa hivyo mngekuwa na flight zenu directly from dar!Hapana aisee.
Baada ya mwanza airport Bukoba airport ndo inafuata Kwa abiria wengi wa ndani.
Tembelea NBS
Kuna wakati tuliwaambia humu sare mpya za polisi ni mbaya mkabisha👇👇
Unaniskiza nini,hujui dar yote ni uswazi tupu,😀 Kweli nyani haoni kundule, mbona nyie manzese sokoni hua mnaita slum wakati ni small shops na vibanda vya kivuli kwa vibiashara
Haiya. Siasa yenu kweli mbaya,no democracy at all,magu anatakiwa kifika eneo kote anapojihisi kufika,Uhuru hakuna mahali hawezi tembea hapa Kenya,anapendwa na woteHizi ni njama za manguruwe ya west ili Magu asiende kupiga kampeni Kusini, we unafikiri raia wa hayo maeneo watauaje watu wa jamii yao? Walijaribu kwenye mapango Tanga wakapukutishwa, wakajaribu pwani wakapotezwa na hapo wamechokoza. Usisahau kuwa inapokuja swala la ground force tuko vizuri kuliko hata wanavyoturate.
Sasa ukisikia ujishughulishi kuchunguza ukweli kutokana na design specifications? Hivi unajua runway length at sea level area needs a less distance compared to high altitude area?Ila nimemsikia Dotto akisema hivyo viwanja vyote vitaruhusu dreamliner kutua
I love thika road and outer ring roads,they are modern and beautifully designed sasa hivi ziko zaidi ya 20 thika road pekee
Zile Airbus 2 zitapokelewa hapoNilipita Dodoma airport juzi nilikuta kuna upanuzi unafanyika.
Hivi kwa mfano helium gas huko mbeleni inategemewa kuwa shida duniani, sasa hivi kila mtu anatupia macho reserve ya Tanzania.Kaka waarabu wanaringia mafuta yao ndio sababu hawapewi kibano sana, sisi tunaotegemea kila kitu toka kwao pamoja na soko la mazao yetu, sio rahisi sana kuwadindia.
True, I wanted to say the same.Democracy does not exist in the world.
video za kupiga sehemu moja nzuri alaf unaacha sehemu kubwa haitamaniki 😂😂Jamaa siku hizi mnaogopa video sana![]()
msaidie mwenzako kakimbia mpaka leo haonekani 😂😂😂😂😂Hyo suburb inajiitaje tutafute video zake
Nishakufukuza, ama utarudi kunengua
kalipstic kamekolea 😂😂😂😂
uliotuma ni the same na hio iliopostiwa 2014 so which is which 😂😂😂😂Hio si article yenye nilituma kaka,wacha ujanja wako hapa
sio tena alshabab ???
i see and upper hill there au nadanganya😂Residents bas ni hizi
View attachment 1609464
Nakumbuka watanzania hapa wakicheka wakenya wakati Magaidi walivamia Kenya Kweli mungu halali