TYWIN LANNISTER
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 854
- 209
waliuwa wanajeshi pia fungua hyo link usomeWamevamia raia sio wanajeshi, sasa subiri muone umahiri wa JW. Sisi sio ninyi ambapo Alshabab wanaingia Kenya zaidi ya mara 100 sasa. Subiri utaona kama watagusa tena ardhi ya tanzania, tutawafuta katika uso wa dunia
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile ap
Mlicheka wakenya Sana

