Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
mwanzo mulisema alshabab sasa mumebadilisha jina isisNakumbuka watanzania hapa wakicheka wakenya wakati Magaidi walivamia Kenya Kweli mungu halali
Hicho ni kitu kidogo sana, sio muhimu kwa uchumi wa nchi zao, dunia inaweza kuishi bila Helium gas na maisha wa uchumi usiteterekeHivi kwa mfano helium gas huko mbeleni inategemewa kuwa shida duniani, sasa hivi kila mtu anatupia macho reserve ya Tanzania.
Tukikomaa itatutoa ila m
True, I wanted to say the same.
Jina c shida Isis, alshabaab, al qaeda wote ni Magaidi na mlicheka Kenya Sanamwanzo mulisema alshabab sasa mumebadilisha jina isis
Ninyi mliwachokoza kwa kuwafuata kwao, wakawashinda nguvu, sisi wametuchokoza wao, sasa subiri muone tutakavyowasambaratisha.Nakumbuka watanzania hapa wakicheka wakenya wakati Magaidi walivamia Kenya Kweli mungu halali
aliekwambia sio shida ni nani tangu lini isis wakawa alshabab na alikwambia nani???Jina c shida Isis, alshabaab, al qaeda wote ni Magaidi na mlicheka Kenya Sana
Wacha tuone jinsi superpower Tanzania itapambana na magaidi
Hohohohoho mnawasambaritisha na venye wanawachinja kama kuku mtwaraNinyi mliwachokoza kwa kuwafuata kwao, wakawashinda nguvu, sisi wametuchokoza wao, sasa subiri muone tutakavyowasambaratisha.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Tafadhali tunaomba msijekubadilisha maneno, lazima mtasema hawa sio kama Alshaabab ndio sababu tumewashinda. Tumeweza kuishinda Corona wakati nchi Kubwa duniani zimeshindwa, hatuwezi kushindwa kupambana na Magaidi.Tutawacharaza hadi wachakae, sisi sio Kenya.Jina c shida Isis, alshabaab, al qaeda wote ni Magaidi na mlicheka Kenya Sana
Wacha tuone jinsi superpower Tanzania itapambana na magaidi
Ww tegea shambulizi linginealiekwambia sio shida ni nani tangu lini isis wakawa alshabab na alikwambia nani
Wamevamia raia sio wanajeshi, sasa subiri muone umahiri wa JW. Sisi sio ninyi ambapo Alshabab wanaingia Kenya zaidi ya mara 100 sasa. Subiri utaona kama watagusa tena ardhi ya tanzania, tutawafuta katika uso wa duniaHohohohoho mnawasambaritisha na venye wanawachinja kama kuku mtwara
gaidi ni gaidi umuchokoze usimuchokoze
atakushambulia tu
Kwani kna ubaya upper hill ikionekana?is part of Nairobi and close neighbour to kilimani,nikama upanga na hio cbd yenui see and upper hill there au nadanganya😂
Sisi sio Kenya, wao wsmechokoza moto, subiri watapata joto la jiwe. Usikimbie kama mlivyokimbia baada ya kushinda Corona, hawa tutawafuta haraka sana, hawawezi kushambulia tena TanzaniaWw tegea shambulizi lingine
Wote ni Magaidi
tanzania huijui vzr wewe nyie malizaneni na alshabab naskia munatoa majeshi yenu huko mushapokea kibano zimewatosha sasaWw tegea shambulizi lingine
Wote ni Magaidi
nimesema tu imeonekana hapo manake usije sema kilimani pekee wakat ni two in one 😂😂😂 nimekuwahi tuKwani kna ubaya upper hill ikionekana?is part of Nairobi and close neighbour to kilimani,nikama upanga na hio cbd yenu
Tuko hapa hapa hata mm nataka muwashinde lkni hakuna nchi ambayo imeshinda ugaidi dunianiTafadhali tunaomba msijekubadilisha maneno, lazima mtasema hawa sio kama Alshaabab ndio sababu tumewashinda. Tumeweza kuishinda Corona wakati nchi Kubwa duniani zimeshindwa, hatuwezi kushindwa kupambana na Magaidi.Tutawacharaza hadi wachakae, sisi sio Kenya.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app